Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

UCHAMBUZI WA BAJETI YA OFISI YA RAIS- MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. Utangulizi. Ijumaa tarehe 19 April 2024, Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais...
0 Reactions
1 Replies
9 Views
Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja. Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa...
19 Reactions
1K Replies
10K Views
Wakuu binafsi nimeskia sana swala la mashabiki kudai wachezaji wetu baadhi waachwe na wengine wabaki . Ni sawa .. Lakini shida tunasahau sana na kukurupuka sana bila kukumbuka na kufuatilia kwa...
3 Reactions
24 Replies
154 Views
Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini? Umeaccomplish mikakati yako? Mimi nilisema nitafanya savings, ila...
1 Reactions
34 Replies
141 Views
Africa watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio nilikua dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wanasukari . Nikazama gugo kudadis...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Mbunge wa Konde-ACT Wazalendo ambae anatokea Zanzibar ameitaka Serikali kurejesha utaratibu wa kuwa na Passport Kwa watu wa Bara wanapenda Zanzibar. Bwana Mbunge amesema Zanzibar ni ndogo hivyo...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana. Sema biashara...
2 Reactions
48 Replies
587 Views
Kwenye makuzi yetu mpaka kufikia hapa tulipofikia kuna mtu amehusika kwa asilimia kubwa mpaka kufika tulipofika. Yawezekana ni baba,mama, rafiki, bibi, babu, mjomba, mwalimu wa shule ama yeyote...
2 Reactions
11 Replies
132 Views
Natumaini wazima Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi MAHITAJI Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu...
8 Reactions
24 Replies
149 Views
Miaka 30 ni mingi sana kukaa hapa duniani sio tu kukaa nyumbani, inabidi uwe umesha leta impact. Kuna watu kabla ya hiyo miaka walishafanya makubwa sana hadi sasa bado wanakumbukwa kwenye...
11 Reactions
39 Replies
730 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,856
Posts
49,467,783
Members
666,455
Latest member
Dr Sifael Mk
Back
Top Bottom