Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani...
10 Reactions
67 Replies
2K Views
Mahakama ya Wilaya Kiteto, Imemhukumu MAMBE MOHAMED MAMBE, Mwenyekiti wa Kijiji cha Nasetan, Kata ya Engusero, Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani na kuamriwa kwenda Jela...
1 Reactions
4 Replies
27 Views
Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
7 Reactions
61 Replies
946 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
915 Reactions
1M Replies
38M Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
15 Reactions
90 Replies
1K Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
2 Reactions
45 Replies
1K Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
7 Reactions
103 Replies
1K Views
Onsale🚘🚘 Nissan X-Trail New Model Price : 32ml Year: 2014_2015 Cc 1990 Km: 9990 Colour: GREEN Fog Light ✅ 7 SEAT CAPACITY ✓ 2WD & 4WD ✅ Digital Dashboard ✅ Mirror Winkors ✅ Tyre Michelin ✅...
0 Reactions
5 Replies
46 Views
Kusinzia Kwenye Ibada ya Kikristu Tuanze kwa kujiuliza maswali machache. Je, unajisikiaje Neno la Mungu linapohubiriwa kanisani lakini wewe unasinzia, na hata kukoroma wakati mwingine. Ila...
1 Reactions
5 Replies
75 Views
Inaonekana wazi serikali haiwezi kuendesha shirika lolote. Mwendokasi na hasara za ATC ni mfano wa karibuni juu ya kushindwa huko. Mwendokasi unaenda kutafutiwa muwekezaji kutoka nje!! Huku ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,497
Posts
49,203,937
Members
664,041
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom