Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau hamjamboni nyote? Nimetembelea vijiwe vingi vya kahawa Tanzania lakini pentagon kahawa club iliyopo maeneo ya Salasala dar es salaam ndiyo sehemu iliyonivutia zaidi Utapata kahawa bora...
0 Reactions
5 Replies
88 Views
Habari za muda huu....... Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq.......... ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan Israeli...
11 Reactions
542 Replies
17K Views
Sikiliza na kutazama hapa ahadi yake kuelkea Dar es salaam Derby
0 Reactions
2 Replies
51 Views
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa...
15 Reactions
157 Replies
5K Views
Ni nadra sana Leo hii kuwasikia Viongozi wa CCM wakiunanga Upinzani lakini wawapo mikutanoni Viongozi hao ni wakali kweli kweli Je, unajua wanamfokea nani?! 🐼 Jumaa kareem 😄
1 Reactions
3 Replies
26 Views
Tukio la Jana la Israel kushambulia kwa ndege nchini Iran kujibu shambulizi la drones la Iran lililotangulia ni la kiwango cha juu kuashiria vita kamili . Hili Shambulizi lilipangwa kwa mkakati...
11 Reactions
48 Replies
2K Views
Nimeshindwa kuelewa sababu ya game ya jana ya man City vs Real Madrid kuamuliwa kwa penalty. Game ya kwanza matokeo yalikuwa 3-3 man City akiwa ugenini, na game ya pili ikawa 1 - 1 nyumbani...
0 Reactions
44 Replies
1K Views
Nimeona wanaume wengi kwenye mitandao ya kijamii wakilalamika jinsi wanawake wa siku hizi wanavyopenda pesa, ukiwachunguza hao walalamikaji utagundua hawana hela Ila wanatamani kuoa. Hivi umewahi...
24 Reactions
87 Replies
1K Views
Tangu nimekuwa nikitembelea ukanda wa Pwani yani mikoa ya Pwani, Dar, Lindi na Mtwara nimekuta na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza, tukianza na bei ya samaki ipo juu kulikon hata mikoa...
2 Reactions
7 Replies
128 Views
A
Habari wana JF, hii video nimeirekodi kwa mikono yangu mwenyewe, inaonesha Barabara ya Dodoma to Iringa jinsi ilivyo hatarishi kwa maisha ya watu wanaotumia, barabara ina viraka vingi na mahandaki...
6 Reactions
35 Replies
642 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,806
Posts
49,430,096
Members
666,064
Latest member
kipethor
Back
Top Bottom