Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

ZITTO ANAPOMFUNDA MBOWE KWA VITENDO. Aliyekuwa kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mpigania demokrasia ndani ya vyama na serikali kwa ujumla Zitto kabwe aachia ngazi baada ya miaka kumi ya...
3 Reactions
26 Replies
383 Views
Hivi kwa karne hii ya sayansi na teknolojia mtu anaweza akapanda ndege kwenda kwenye chimbuko la dini yake na matalasimu vibuyu na tunguli ili akafanye uganguzi? Tena wateja naona watakuwa ndugu...
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi. Kwa wenyeji wa DSM na wazoefu wa hizi spa(ofisi za massage) nina swali kwenu. Mimi ni professional spa therapist (nafanya body massage, pedicure, manicure, facial treatments...
30 Reactions
201 Replies
9K Views
Wadau nawasabahi. Kama mada ilivyo kumekuwa na utaratibu mpya kwa makanisa ya kiroho (haya ya watu binafsi kama Kanisa la Gwajima, Mwingira na mzee wa upako n k) kuwatangazia waumini wao kutuma...
3 Reactions
55 Replies
813 Views
habari Wana JF, Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito [emoji24] pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao...
0 Reactions
42 Replies
369 Views
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu. Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Mwezi mmoja nyuma nilipatwa na hali ya kuumwa kwa, kuchoka mwili na homa ile ya watu wazima mwili hauchemki ila kwa mbali unajisikia hovyo, nikaenda maabala, nikapima mkojo,tyipod na malaria mara...
0 Reactions
11 Replies
143 Views
Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikuwa busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma...
17 Reactions
45 Replies
924 Views
Baada ya maradhi sugu, hakuna kitu kinachokosesha amani kama kuwa na madeni. Hili jambo linatia stress ya hali ya juu mno. Na mbaya zaidi ni kuwa stress hii inakufanya ushindwe ku focus kufanya...
14 Reactions
47 Replies
986 Views
Nimeshangaa kusikia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umeikopesha Serikali Shilingi billion 208 na hazijalipwa hadi Leo Inasikitisha sana Waziri husika ajitafakari kwa kweli
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,290
Posts
49,196,125
Members
663,967
Latest member
Abel paschal
Back
Top Bottom