Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam wakulima na wafugaji Kichwa cha uzi cha husika Karibu tutiririke [emoji846]
3 Reactions
54 Replies
404 Views
Amani iwe kwenu. Mimi siyo muumini wa uchawa na wala siyo chawa. Huyu mzee wetu alikuwa chuma haswa kiutendaji Kwa nafasi alizowahi kuzishika. Mama Samia kama itakupendeza kama Mzee wetu Agrey...
2 Reactions
6 Replies
178 Views
Rais Samia amesema Ripoti za CAG zinafanyiwa Kazi na watu wanaokwenda kurekebisha makosa ndio sababu kuna Ongezeko la Hati Safi Rais Samia amesema 99% ni Hati Safi na 1% tu ndio Hati chafu...
5 Reactions
55 Replies
897 Views
Kesho Ni ijumaa kuu kwa kifupi Ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia ktk mateso yake Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki Msaaada naombeni
1 Reactions
21 Replies
212 Views
Great Thinkers. Hakuna sehemu hao viumbe walishawahi kukaa pakapendeza. Ni waharibifu na wanyonyaji wakubwa. Huwezi ukategemea watu wa Asia wasukume uchumi wako mbele this is the open truth...
3 Reactions
17 Replies
356 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
12 Reactions
151 Replies
1K Views
Umri wangu sio mdogo, unatosha kabisa kunifanya nami niwe Kamhenga ingawa si Mhenga kamili hivyo kama nyani mzee tu nimekwepa mishale mingi. Miaka ya 2000+ Nilikuwa Field Lindi, Pitapita ya hapa...
7 Reactions
25 Replies
302 Views
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua . Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi...
3 Reactions
11 Replies
99 Views
Kama mada inavosomeka hapo juu jamaa angu ana mtu wake kwenye mahusiano huyo binti alimuamisha jamaa kwamba ni Bikira Kwa 100%, lakini alichokuja kugundua Jana baada ya Sex Hakukuta kitu(hamna...
3 Reactions
51 Replies
887 Views
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world! Sasa na mabasi Tena jamani!!?haya mabasi ya mwendokasi TU haya yamewashinda serikali!!?yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi TU yaani imeshindwa...
1 Reactions
5 Replies
26 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,395
Posts
49,200,428
Members
664,018
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom