Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni ukweli kwamba mwegemeo wa dunia kwa sasa "global economic activity " umejilengesha bara la Asia hasa mataifa ya Uchina, Indonesia na India pamoja na Falme za Kiarabu. Hakuna ubishi tena kwamba...
1 Reactions
10 Replies
51 Views
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesaini Mpango wa Jeshi la IDF kuuvamia mji wa Rafah Ni Hatari sana Al Jazeera news
9 Reactions
74 Replies
2K Views
Wanafunzi wasiopungua wanne wa kigeni wamejeruhiwa baada ya kundi la Wahindu wenye chuki za kidini kuvamia dakhalia ya chuo kikuu katika jimbo la Gujarat magharibi mwa India na kushambulia kundi...
2 Reactions
14 Replies
335 Views
Ni miaka 3 imepita tangu Rais Magufuli afariki. Ni jambo la kawaida, hasa siku ya maziko au wakati wa kutangaza kifo, kutolewa taarifa za kina za mazingira ya kifo cha marehemu, na kama pengine...
53 Reactions
129 Replies
5K Views
Habari Wana JF Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natoa huduma ya kuangalia nyumba au watoto endapo muhusika amepata udhuru au kwa sababu zingine...
1 Reactions
5 Replies
119 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
6 Reactions
221 Replies
24K Views
Inasikitisha sana. Tumekuwa tukisikia walimu wakihusika kuwaua wanafunzi kwa vipigo na baadhi yao wameishafungwa gerezani na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa lakini huku mtaani nako hali si shwari...
5 Reactions
90 Replies
2K Views
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu. Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema...
32 Reactions
192 Replies
4K Views
Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini , ambaye pia ni Mfanyabiashara wa Kimataifa mwenye mafanikio Tayari amepata soko la Maharage meupe nchini Uturuki Mazungumzo yake na Wazungu kwa ajili ya...
27 Reactions
78 Replies
2K Views
Dereva katoka Gerezani akiwa na hasira gari limejaa milango hadi inataka kupasuka, Akasimama Faya watu wakawa wanamwambia kwa jinsi Gari ilivyojaa sana unatuumiza funga fungua fuata utaratibu...
2 Reactions
2 Replies
99 Views

FORUM STATS

Threads
1,837,723
Posts
49,112,214
Members
662,992
Latest member
BAKUTOMELA
Back
Top Bottom