Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndio nilikua nimemaliza tu chuo kikuu, na nilikua na kiasi cha tsh laki5 tu, cash in hand, fedha ambazo nilikua nikijibana bana na kudunduliza nikiwa chuo kwa madhumuni haya haya ya kugombea...
20 Reactions
187 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie app au website ambayo naweza kupakua hd movies kwenye simu ya android
0 Reactions
5 Replies
386 Views
Ndugu nawasalim kwa jina la yule alieumba mbingu, ardhi na vyote vilivyomo ndan yake. Ndugu zangu nakumbuka marehem babu yangu aliwahi kuniambia kwamba, kama mwanamuziki mkongwe nchini Tanzania...
12 Reactions
46 Replies
4K Views
Kwa mimi nahisi ningekuwa mchekeshaji ndio comedian, huwa najihisi kabisa hii kitu ingenifaa zaidi. Wewe je?
5 Reactions
36 Replies
252 Views
Ukweli lazima usemwe Leo nilivyotoka nyumbani asubuh na gari yangu bugatti chiron kama kwa dp hapo ( sio manara) ipo chini sana hii gari bongo ipo yangu tu. Asabuhi kukiwa na mvua mvua hivi...
3 Reactions
3 Replies
45 Views
Nimepiga energy ya Azam tokea saa sita hadi sasa hivi wala hakuna njaa nasikia Nadhani kinywaji hiki itasadia wengi Ila tafadhalini usinywe zaidi ya mbili kwa siku Leo Sina pesa kabisa ya kula...
12 Reactions
68 Replies
1K Views
Nimesoma kwenye taarifa za kimataifa nchi nyingi zikilalamikia kampuni ya nestle inayozalisha maziwa ya watoto Nido na cerelac kwamba celerac inayouzwa India na Afrika wameweka sukari nyingi Sana...
0 Reactions
17 Replies
377 Views
Ndiyo maana GENTAMYCINE nikaamua tu kubakia na hii hii Degree yangu Moja tu kutoka Chuo Kikuu cha Werevu tupu Tanzania cha Mtakatifu Augustino Mwanza ( SAUT Mwanza ) na wala sikutaka tena sijui...
10 Reactions
66 Replies
903 Views
Hakuna aliyesahau kwamba Waliopitisha Kikokotoo kwa kishindo ndani ya Bunge ni Wabunge wa CCM , Akiwemo huyu anayeitwa Musukuma, meza ziligongwa nusura zitoboke kwa kushangilia kikokotoo. Sasa...
13 Reactions
62 Replies
2K Views
Hi! Wakuu nafanya mazoezi ya gym almost miaka kumi now, Kuna mazoezi nayapenda zaidi ni squat ,na mengineyo, Squat napendelea kwa lengo niwe fit haswa pia kwajili ya self defence na afya, Sasa...
2 Reactions
31 Replies
241 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,852
Posts
49,431,994
Members
666,096
Latest member
Nivan
Back
Top Bottom