Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Amani iwe kwenu. Mimi siyo muumini wa uchawa na wala siyo chawa. Huyu mzee wetu alikuwa chuma haswa kiutendaji Kwa nafasi alizowahi kuzishika. Mama Samia kama itakupendeza kama Mzee wetu Agrey...
5 Reactions
8 Replies
332 Views
Bado sijaelewa hali hii imetokana na nini, Walianza Al Ahaly lakini sasa hata Mamelod wamefanya hivyo ! Je, kuna nini huku Bongo hadi timu hizi ziogope kula kwenye mahoteli yetu?
1 Reactions
13 Replies
316 Views
Kwa wale wote mnaopenda kutuma mizigo kwenye mabasi alafu mnadanganya bei mzigo wa milioni moja unasema laki moja. Sasa kwa madereva hawa wa mabasi walivyo na mahesabu ya kitoto wanavyosababisha...
3 Reactions
3 Replies
257 Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
0 Reactions
10 Replies
430 Views
Taifa la Iran limepiga hatua kubwa kwa ugunduzi na utengenezaji zana vita. Katika maonyesho ya zana vita, yanayoendelea Qatar,Iran imeonyesha Drone yake,inayoweza kubeba mabomu 13,na kutembea...
14 Reactions
108 Replies
2K Views
Ile kesi maarufu ya kuvuliwa uwakili bi Fatma karume aka shangazi na mwanasheria mkuu wa serekali ndugu feleshi aliyekata rufaa Basi leo amekubali yaishe kwa kuiondoaa rufaa yake mahakamani Sasa...
2 Reactions
10 Replies
329 Views
Wakuu mu hali gani? Nashukuru mie mzima wa afya. Kuna kisa nimekuwa nacho kwa muda mrefu, sikuwahi kushare humu. Niliandika kiufupi tu ila naona ni vizuri nikashare kwa ukubwa ili tupate...
86 Reactions
254 Replies
16K Views
Kwa jìnsi nilivyo nadhifu, kwa jinsi nilivyo na haiba njema, watu wanashangaa sana wakiona sijihusishi na mambo mengi ya dunia, licha ya kiwa nayapenda. Mademu wanapapatika juu yangu nami naumia...
1 Reactions
2 Replies
60 Views
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
12 Reactions
76 Replies
747 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
3 Reactions
87 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,453
Posts
49,202,213
Members
664,028
Latest member
G 1
Back
Top Bottom