Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
509K Replies
28M Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
5 Reactions
54 Replies
790 Views
Mamlaka za kudhibiti dawa za Tanzania, Rwanda na Zimbabwe zimesitisha toleo la dawa za kikohozi za watoto za kampuni ya Johnson & Johnson, kama hatua ya tahadhari baada ya mamlaka za Nigeria...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Taarifa iliyotolewa na Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Aprili 9, 2024 imesema kutokana na maboresho yaliyofanyika na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili upande wa Kliniki za VIP Jengo la...
0 Reactions
8 Replies
26 Views
Hawakujua utafanya mambo makubwa yote haya, Umekamilisha Miradi hata iliyoshindikana, Umetekeleza miradi kila kata ya Nchi hii, umewapa uhuru raia, vyombo vya habari na online media zote za...
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Katika mida ile ya kutafuta, inafikia hatua unakula ili uishi yaani unakula chochote. Mimi nishakula ugali na chumvi mixer maji ya kunywa. Wewe je ?
7 Reactions
124 Replies
2K Views
Tulishasema mara nyingi humu. Watawala wa nchi za Kiarabu na Israel damudamu Juzi wakati Iran ikiwapelekea fire wazayuni, Jordan ilishirikiana bega kwa bega na uingereza na Marekani kutungua...
4 Reactions
52 Replies
2K Views
Salaam, Shalom!! Maelfu ya watu wanaendelea kuhamishwa baada ya maji kufurika Kwa usiku mmoja tu na kufunika maelfu ya nyumba na miundombinu katika majiji ya Orenburg, Syberia na Euros nchini...
6 Reactions
23 Replies
542 Views
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Kaskazini, Nabii wa Mungu Godbless Lema amewataka wakuu wa vyombo vya Usalama vya Tanzania kujiuzulu mara moja kutokana na Uzembe wa kutokujua kwamba Rais anatukanwa...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Nipo zangu eneo langu la biashara... Ni kasoko flani hivi kalikochangamka kwahiyo nikaona niwe na kastationary pale kakuzugia, mambo yote ya photocopy, printing, scanning, binding na kuchapa chapa...
45 Reactions
134 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,930
Posts
49,401,209
Members
665,778
Latest member
lucysAloyce
Back
Top Bottom