Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
15 Reactions
210 Replies
2K Views
Mpira wetu umekua sana sasa hivi aisee,hii sio kawaida mujue,Waandishi zaidi ya 100 na Ishirini walihudhuria kwa Mkapa, kwenye mazoezi ya timu ya Simba SC. elewa neno Waandishi sio Muandishi😂 ✍️
2 Reactions
1 Replies
2 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
11 Reactions
263 Replies
4K Views
Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa. Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo...
2 Reactions
11 Replies
88 Views
karibuni HUDUMA YA KUHAMA, mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mkoani. Huduma zetu ni pamoja na; [emoji117]kufunga na kufungua vitu tunapofika unapohamia [emoji117]kupanga vitu mahala pake...
12 Reactions
374 Replies
9K Views
TUNAKUFUNGA NA KUANDAA WIRING YA MIFUMO YA ULINZI. Shuleni,Nyumbani,Godown,Hotelini nk. Na wewe boss wetu hujachelewa karibu tukuhudumie kwa mahitaji ya Installation,systems upgration,maintenance...
2 Reactions
7 Replies
80 Views
Wadau maeneo ya MTONI KIJICHI hadi MTONGANI Kuna harufu mbaya ya mafuta usiku huu (28/03/2024) Maeneo haya ni karibu sana na Bandarini. Je Kuna Nini kinaendelea?? Mashaka ni kwamba labda bomba au...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Watanzania wenzangu mtakumbuka kwamba 4 March 2024 niliripoti kuhusu uwepo wa mgodi wa siri huko Singida - Tabora baada ya kupewa taarifa na mmoja wa wachimbaji wadogo. Timu yangu ilifanikiwa...
22 Reactions
84 Replies
4K Views
Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Habari zenu jamani, Mimi ni kijana Nina Miaka 25 nina jambo langu linaeda kama ifuatavyo. Kipindi nipo chuo mwaka wa kwanza ambapo nilikuwa nasomea kada ya Afya, Kuna Binti nilikuwa naye kozi...
8 Reactions
115 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,416
Posts
49,201,290
Members
664,013
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom