Full name: Liverpool Football Club
Nickname(s): The Reds
Founded: 3 June 1892
League: Premier League
Website: LiverpoolFC.com
Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
Chadema ni chama kinachoelekeza zaid wananchi kidini ukiangalia kipo zaidi na maelekezo ya kanisa hata katika balaa la bandari walijitokeza waziwazi wakishadidia dini yao ya kikiristo,huku ni...
WAMEJIKAANGA KUKWEPA KUSAJILI MIKOPO BOT
- Sheria ya Fedha za Kigeni inakataza wakopaji kutokusajili mikopo yao Benki kuu ya Tanzania, ikielekeza kuwa ni lazima wakopaji kusajili mkopo BOT
-...
Unapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi.
Fikiri mengi lakini zungumza machache,
Sikiliza wengi lakini jibu wachache,
Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
Zingatia hicho kichwa hapo juu
Wanaume wengi muna tembea na laana za wanawake ndio maana wengi wenu hamfanikiwi kiuchumi wala kiroho na hata mkifanikiwa hamli matunda ya mafanikio yenu muna kufa...
Wakubwa ni habari za wakati huu...
Naombeni ufafanuzi wa biashara au fursa za biashara zilizopo maeneo ya mipakani mwenye utaaramu au amewahi kufanya biashara yoyote maeneo ya mipakani tafadhali...
Ni kitinda mimba wangu. Amepata kazi Serikalini kwenye Halmashauri moja Mkoani Shinyanga na pia kwenye Shirika linaitwa Good Neighbors Tanzania. Mishahara ni kama inalingana, aende wapi?
Naomba...
Kulikuwa na timu iliyoitwa Everton kutoka kitongoji cha Merseyside cha jiji la Liverpool nchini England.
Timu hii ilikuwa ikitumia uwanja wa Anfield, uliokuwa ukimilikiwa na mwenyekiti wa bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.