Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
511K Replies
29M Views
Naomba ushauri,nina mpenzi wangu kipindi cha nyuma,kabla hajakubali kuwa wapenzi kuna rafiki yangu alikuwa anamtongoza kwa siri, ila nilifamu kwamba anamtongoza bila yeye kujua. Sasa nikakubaliwa...
8 Reactions
68 Replies
906 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
923 Reactions
1M Replies
39M Views
"The ultimate measure of a man is not where he stands in the moment of confort,but where he stands the moment of challenge and controversy" LETS STAND TOGETHER SO FAR WE'VE DECIDED TO STEP...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Hivi karibuni nimehamia Mkoa fulani katika harakati za utafutaji, kama unavyojua maisha popote pale maadam unapambania mkate wa kila siku. Siku kadhaa zilizo pita nikiwa naelekea katika harakati...
11 Reactions
45 Replies
1K Views
Habari zenu wandugu, naomba kaushauri kidogo Kuna demu nilikuwa na mahusiano naye kabla ya yeye nilizaa na mwanamke mwingine. Huyu demu ambaye bado sikuzaa naye alinikubari sana kifupi wote hata...
2 Reactions
15 Replies
246 Views
  • Sticky
Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
15 Reactions
16K Replies
1M Views
Sisi wapenzi wa mpira tunapoenda kuangalia mpira Uwanja wowote ule kwa malipo maana yake sisi ni wateja inabidi tuheshimiwe kama wafalme kama kauli mbiu inavyosema kuwa mteja ni mfalme...
2 Reactions
8 Replies
89 Views
huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta. na atakayechafua aidha asafishe...
1 Reactions
4 Replies
29 Views
Baada ya kuwakanda Simba S.C katika mchezo uliopita wa ligi ya NBC, mabingwa watetezi na vinara wa ligi kuu, Yanga Afrika leo tena watashuka dimbani mida ya saa 10 kamili jioni kuzisaka point tatu...
5 Reactions
44 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,137
Posts
49,475,666
Members
666,599
Latest member
abuutz42
Back
Top Bottom