Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tumekuwa tunatumia nguvu nyingi kusifu na kuficha madhaifu ya Magufuli,ila Mungu kwa rehema zake amekuwa anayafichua kwa namna anayoitaka yeye. Wazee hawa wanadhihirisha dhulma kubwa iliyofanywa...
13 Reactions
31 Replies
1K Views
Wakuu, kati ya kampuni hizi hapa ipi ni bora kwa ajili ya bima ya gari?
0 Reactions
4 Replies
144 Views
Haya maisha bwana. Mwaka 2019, nilifanya interview na shirika Moja la waingereza, aisee interview ilikuwa Kali hatari, nilikuwa natoa jibu linalonijia kichwani. Cha kushangaza baada ya wiki Moja...
3 Reactions
12 Replies
70 Views
Katikati ya mitaa ya Tehran kuna masinagogi takribani 35 ambayo ni maeneo ya ibada ya wayahudi wakiiran inasemekana mpaka mwaka 2021 takribani wayahudi 8000-9000 bado wanaishi na kufurahia maisha...
12 Reactions
151 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
922 Reactions
1M Replies
39M Views
Habari za muda huu wapendwa.....,... Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde..... Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako...... Kuna nyakati unapitia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa kiingereza inaitwa CUT THROAT COMPETITION (Ushindani wa kuchinjana makoromeo) Ni aidha jirani biashara imemshinda anaanza kuuza kwa bei za chini amalize mzigo Mbinu ya kukuibia wateja kwa...
4 Reactions
20 Replies
472 Views
Wakazi wa mbagala kiburugwa tunaomba serikali iwajibike ipasavyo, barabara hii ni kubwa sana ila ni mbovu haipitiki kipindi cha mvua na kikiwa kipindi cha jua kali ni vumbi na mchanga mwingi kiasi...
1 Reactions
29 Replies
468 Views
Shikamooni wote maana ninajua wote mmenizidi umri (hii sio hoja ya huu Uzi kwa hiyo ma anko na ma aunty msifanye kesi). Mapenzi ni matamu Sana pale unapopendwa na unapompenda mtu wako kwa dhati...
15 Reactions
319 Replies
3K Views
  • Sticky
Wana JF Tanzania imebarikiwa kuwa na vyanzo vya maji ya asili ikiwemo mito, mabwawa, maziwa, bahari, chemchem nk. Kutokana na vyanzo hivi tunapata samaki wa aina mbalimbali wakiwemo perege/sato...
34 Reactions
1K Replies
540K Views

FORUM STATS

Threads
1,847,825
Posts
49,467,005
Members
666,455
Latest member
Dr Sifael Mk
Back
Top Bottom