Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
922 Reactions
1M Replies
39M Views
"we will stop rain for you." ni kauli ya rais wa awamu ya sita waJamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa uzinduzi wa filamu ya royal tour huko nchini marekani. Alisema kauli hii katika kuwatia...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimeshindwa kuelewa sababu ya game ya jana ya man City vs Real Madrid kuamuliwa kwa penalty. Game ya kwanza matokeo yalikuwa 3-3 man City akiwa ugenini, na game ya pili ikawa 1 - 1 nyumbani...
0 Reactions
41 Replies
1K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto na kama hali itaendelea hivyo atamuweka ndani...
0 Reactions
5 Replies
50 Views
Habari wadau, Mchungaji wa kanisa la kilokole akitoa ushuhuda wa kilichotokea kwenye ndoa ya waumini wake. Bwana harusi na yeye anaeleza kwa urefu alichokutana nacho kwenye usiku wa kwanza wa...
5 Reactions
34 Replies
548 Views
Kwa utafiti wangu mdogo hakujawahi kutokea matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili kama muda huu tulionao. Kibaya zaidi hata baadhi ya vyombo vya habari vikubwa vinashiriki dhambi hii. Maneno...
9 Reactions
80 Replies
810 Views
Jamani,kila mtu na vipaumbele vyake. Natafuta mke kiportabkr lakininawe na tako.Elimy kuanzia form 4 angalau. Awe na mtoto au laa,mm sina shida.Dm me
3 Reactions
26 Replies
351 Views
Hii Dar es Salaam sijajua ni kwa nini watu wanaipaparukia kiasi hichi, huu mkoa una paishwa tu lakini hamna kitu kabisa. Mkoa umejaa shida kila mahala. Nitaongelea sekta ya usafiri, japo ki...
35 Reactions
127 Replies
3K Views
Bila aibu, baadhi ya viongozi wa CCM wanafanya vitendo vya kumdhalilisha Rais Samia. Tumesikia kelele za baadhi ya viongozi wa CCM kuwa eti mwaka 2025, kwa upande wa CCM, itachapishwa fomu moja...
6 Reactions
22 Replies
431 Views
Kumekua na kawaida kwa watu wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi kuleteana visa vya hapa na pale especially mmoja anapogundua kwamba mwenzake anampenda sana. Mwanamke au mwanaume...
4 Reactions
14 Replies
161 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,571
Posts
49,422,146
Members
665,995
Latest member
Shaibu Ally Bakari
Back
Top Bottom