Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe...
8 Reactions
89 Replies
2K Views
Wasaalam! Leo imekuwa siku yangu ya kwanza tangia nizaliwe kupima ukimwi! Na kupata majibu! Aisee roho kidogo iache mwili! Nakumbuka Kuna siku nilinunua kipimo nikajipima Geto! Lakini kuangalia...
4 Reactions
10 Replies
365 Views
Timu ya Yanga imeweka bango kubwa maeneo ya Fire jijini Dar es Salaam linaloonesha matokeo ya jumla ya kipigo walichotoa kwa mnyama msimu huu. Kwa mechi zote mbili za msimu huu klabu ya Yanga...
17 Reactions
73 Replies
3K Views
Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Waziri mwenye dhamana, Dkt Selemani Jafo akisema hoja ya kutaka kurejesha utaratibu wa watu wa Tanzania Bara kuingia...
1 Reactions
8 Replies
42 Views
  • Sticky
Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
154 Reactions
121K Replies
6M Views
Nimefungua biashara ya kunyoa yaan kinyozi Siyo berbershop bado haina hadhi hiyo Lakini naona mauzo madogo je naweza nikaongeza biadhara gan hapo ili iwe inabust?? Watalamu wa biashara
4 Reactions
47 Replies
1K Views
Kijana uliemaliza kidato cha nne au cha sita.. kabla ya kufanya maamuzi ya kusoma Diploma in clinical medicine yajue haya. Clinical medicine ni kozi ya diploma ya utabibu (udaktari) ukisoma hii...
26 Reactions
52 Replies
2K Views
26 Out of 27 Startups Fail. Learn Nike's Secrets and Beat the Odds "Ignore the doubters," Phil Knight writes in his revealing memoir, "Just Do It..." It's a philosophy he lived, proving that a...
0 Reactions
6 Replies
114 Views
Wapo walioapa kuilinda na kuitetea katiba lakini wanasema muungano uvunjwe. Haya ni madhara ya mtu kuapa dhidi ya kitu asochokielewa Mtu anaapa kuilinda katiba je hiyo katiba anaielewa? Nimara...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Kuna mambo Mawili muhimu Sana Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu...
7 Reactions
31 Replies
474 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,066
Posts
49,473,490
Members
666,588
Latest member
Johnbosco4256
Back
Top Bottom