Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naifuatilia ziara yenu toka ilipoanza, hamna jipya kwa wananchi zaidi ya kupambana na Makonda kwa mafumbo. Tulitegemea muisimamie vyema serikali yenu, hasa Watumishi wazembe na wezi wa mali ya...
6 Reactions
46 Replies
871 Views
Sometimes kuchomoko kwenye cycle ya umasikini inahitaji upate mtu wa kukushika mkono. Unfortunately waswahili hatuna ustaarabu wa kusaidiana tunadhani ukimsaidia mtu atakuzidi mafanikio Haya...
3 Reactions
14 Replies
203 Views
Wakuu kuna mambo huwa yanatokea unabaki unajiuliza ni mimi kweli yamenikuta. Kifupi nilikuwa sikuwahi waona kunguni mpaka umri huu zaidi ya kusikia story tu. Na akili yangu iliamini kunguni ni kwa...
12 Reactions
90 Replies
2K Views
Je, kwa nini Netanyahu anaendelea kuwaza kuhusu kulipa kisasi kwa Iran ikiwa Israel iliua makanda wa Iran, lakini wao Israel kama ambavyo wanaripoti kuwa wameyadungua makombora ya Iran 99% na...
0 Reactions
9 Replies
252 Views
Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to...
5 Reactions
159 Replies
21K Views
  • Sticky
Full name: Manchester City Football Club Nickname(s): The Citizens, The Blues, The Sky Blues Founded: In 1880 as St. Mark's (West Gorton), became Ardwick Association Football Club in 1887 and...
23 Reactions
29K Replies
1M Views
MISRI ni nchi inayozunguka kona ya kaskazini mashariki ya bara la afrika hadi kwenye Rasi ya Sinai kusini magharibi mwa bara la Asia Nchi ya Misri imepakana na nchi kama Israel, Palestine...
5 Reactions
11 Replies
370 Views
Kwa wale ambao Huwa mnauliza wapi mnaweza kuwekeza na kufungua biashara basi sogezi siti. Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina...
7 Reactions
188 Replies
4K Views
Kwa technologia yasasa huwezi kufanikiwa na vikombola alivyotumia Iran dhidi ya israel'. Iran hawakuwa serious. Hivi kweli wanatudanganya na vikombola vyao uchwala kwamba wanalipiza kisasi...
12 Reactions
70 Replies
2K Views
Tatizo Israel hufanya baadaye mnapata matokeo, hivyo haijulikani watafanya wapi au kivipi, hofu imeanza kutanda kote, Iran imetorosha makamanda wake kutoka Syria, pia viongozi wa Hezbollah...
4 Reactions
29 Replies
866 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,407
Posts
49,416,433
Members
665,913
Latest member
Mohamed contao
Back
Top Bottom