Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niko kwenye Chama hiki kwa miaka yote na nashuhudia Chaguzi nyingi sana za ndani, lakini kiukweli sijawahi kuona Uchaguzi wa ndani ya Chama hiki ulio na msisimko kama uchaguzi wa mwaka huu, na...
4 Reactions
28 Replies
578 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima , ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo , Ratiba...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha. Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais. Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Wakuu kuna mambo huwa yanatokea unabaki unajiuliza ni mimi kweli yamenikuta. Kifupi nilikuwa sikuwahi waona kunguni mpaka umri huu zaidi ya kusikia story tu. Na akili yangu iliamini kunguni ni kwa...
20 Reactions
197 Replies
3K Views
Ndugu wana JF poleni na kazi na mihangaiko ya maisha. Mimi ni kijana wa miaka 29 mzaliwa wa Morogoro na kukulia DSM hasa maeneo ya Tandika! Nilipohitimu masomo yangu pale UDSM 2017 nilikuja...
42 Reactions
150 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania CHADEMA imejaa watu wabinafsi sana,watu wenye roho mbaya,watu wenye mioyo migumu kama zege lililokaukia Juani. CHADEMA siyo chama ambacho unaweza kukiweka hata kwenye...
1 Reactions
88 Replies
289 Views
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Hellow wakuu. Member kama mimi queenkami ambaye sijuani na yeyote wa JF nje ya JF ikitokea nikafariki hamtakaa mfahamu sababu sina mtu katika maisha yangu halisi anayejua kuwa mm ni member huku...
35 Reactions
556 Replies
41K Views
Serikalini na wananchi wake wamekuwa ni wabaguzi wa kutupwa na kusababisha psychological torture kwa baadhi ya wahitimu,haiwezekani mtu amesoma mpaka chuo then unarelate maisha yake na mtu wa...
8 Reactions
102 Replies
1K Views
Nu ukweli unaopaswa kuungwa mkono na Madiwani wa Nchi nzima. Madiwani wa Mkoa wa Mara Wamepaza sauti zao na kuwataka WABUNGE wapunguziwe Mishahara yao ili Punguzo hilo walipwe Madiwani kama...
1 Reactions
15 Replies
488 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,522
Posts
49,420,768
Members
665,972
Latest member
an gott glauben
Back
Top Bottom