Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Zanzibar ni dola la kiislam? serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran? mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam? Kaimu Kamanda wa...
1 Reactions
21 Replies
226 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
1 Reactions
59 Replies
521 Views
Daktari Magufuli aliwaachia madaktari waamue kuhusu chanjo ya Corona lakini Dr. Samia alihamasisha tena kwa kuchoma hadharani. Dr. Magufuli hakusafiri sana nje ya nchi na kuwaachia mabalozi wa...
3 Reactions
10 Replies
162 Views
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
10 Reactions
56 Replies
494 Views
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula. Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda. Kwa...
17 Reactions
50 Replies
1K Views
Habari wadau. Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA. Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm Amepata...
40 Reactions
295 Replies
11K Views
Huyu ni BobRisky wa Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.
1 Reactions
55 Replies
754 Views
Kwenye taasisi zingine zilizo chini ya serkali kuna madudu mengi sana! Inakuwaje kwenye halmashauri kuwe safi kwa 99% huku kwenye taasisi za serkali kuwe kumeoza! Au minong'ono ya bahasha kwa...
1 Reactions
15 Replies
84 Views
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana. Lakini wagonjwa...
9 Reactions
74 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow". Hayo ni madai mazito...
7 Reactions
68 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,401
Posts
49,200,911
Members
664,016
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom