Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hongera kwa Kila Raia wa Tanzania kwa kukuza Uchumi wako binafsi, Hii GDP inapatikana kwa kugawa jumla ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kwa jumla ya Idadi yetu. #Samia hakamatiki ==== Below are...
14 Reactions
69 Replies
1K Views
Khanga Kubwa za Zanzibar zinapatikana. Bei sh 20,000 kila moja. Tunapatikana tabata kinyerezi dar es salaam. Ni biashara ya Mtandaoni, ukiagiza tunafanya delivery. Mawasiliano 0784 829565
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wana familia wa JF, Humu ndani naamini wapo Watanzania ambao wanaishi Marekani kwa nguvu ya GREEN CARD. Kwa faida ya wengi, naomba yeyote anayejua au amefanikiwa kuwa na Green Card ya Marekani...
0 Reactions
23 Replies
797 Views
Tarehe 13 April, Meya Mastaafu wa Manispaa ya Ubungo, Boniphace Jacob alitoa taarifa ya kupotelewa na ndugu yake Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ambaye alipotea mapema mwezi April 2024...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
BASHUNGWA ASHIRIKI MAOMBI NA DUA YA KULIOMBEA TAIFA Waziri wa wa Ujenzi Innocent Bashungwa, ameungana na Watanzania kushiriki Siku ya Maombi na Dua ya kuliombea Taifa katika Maadhimisho ya...
1 Reactions
20 Replies
341 Views
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria. Akichangia makadirio ya mapato na...
9 Reactions
133 Replies
4K Views
Habari zenu wandugu, naomba kaushauri kidogo Kuna demu nilikuwa na mahusiano naye kabla ya yeye nilizaa na mwanamke mwingine. Huyu demu ambaye bado sikuzaa naye alinikubari sana kifupi wote hata...
0 Reactions
9 Replies
66 Views
Leo nimepta msosi wangu pendwa kbsa wa mix ya mayai na maharage Nikachamganya na maparachichi kwa kweli leo siku imekwenda vzr siyo kaama juzi niliishia kunywa energy drink Nimeambiwa nijiandae...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
Watumishi wa Umma Huwa wapo wapo Hadi unajiuliza Hawa ni Wasomi walienda shule kuongeza maarifa au kukua na kupata cheti waje kutoa Huduma za hovyo? Huu ni aina nyingine ya ushahidi wa jinsi tuna...
2 Reactions
3 Replies
208 Views
Wanahabari, Isack Gamba, Ahmed Juma Baragaza, Fredwaa, Ephraim Kibonde, Agnes Almasy, Samadu Hassan, Gardner G Habash, Prince baina kamukulu na wengine wengi wameondoka wakiwa na umri mdogo...
1 Reactions
21 Replies
604 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,048
Posts
49,473,039
Members
666,572
Latest member
Binta Maso
Back
Top Bottom