Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bwana haji Manara sawa kuoa ni haki yako ya kidini lakini isiwe geuze kuwa chanzo cha mapato kwa kulenga michango utakayopewa na ndugu na jamaa. Haiwezekani wewe ni kuoa kuacha kuoa kuacha...
4 Reactions
14 Replies
270 Views
Kipindi cha Kikwete walipinga sana suala la Ufisaidi. Hili walilisimamia kidete kwa kweli tunashukuru lilisikika maana ni kweli lilitamaraki. Kipindi cha Magufuli chorus ilibadilika ikawa ni...
9 Reactions
50 Replies
426 Views
Idadi / population ya warwanda Wahutu 85 % Watutsi 14 % Watwa 1%. Kwa hisoria fupi, mauaji ya Kimbari 1994 yalianza baada ya waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame kulipua ndege aliyokuwemo...
8 Reactions
68 Replies
2K Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
27 Reactions
125 Replies
3K Views
Israel kwa kutumia tekinolojia ya kisasa zaidi na ya hali ya juu ilifaulu kuyafubaza kabisa ndege za kivita zisizo na rubani pamoja na makombora ya masafa marefu ya Iran jamb lililopelekea silaha...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
licha ya ndege zisizo na rubani za Iran yaani drones kudunguliwa kabla ya kulenga shabaha imegundulika idadi kubwa ya makombora ya masafa marefu ya Hypersonic ya Iran yameteketeza vibaya kambi...
2 Reactions
5 Replies
249 Views
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za...
13 Reactions
53 Replies
2K Views
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu. Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani...
2 Reactions
26 Replies
327 Views
Hili suala la viongozi kujipendekeza kwa Raisi Samia sasa limeanza kupita kiasi, na lisipodhibitiwa litaleta mtafaruku nchini. Mfano ni hili suala la Raisi Samia kutukanwa. Siamini kabisa kwamba...
2 Reactions
7 Replies
79 Views
Anasema kipindi kilichopita kilikuwa na kikundi kinaitwa task force. TRA walikuwa wanafunga account za wafanyabiashara kwa kisingizio cha kukusanya kodi kwa kutumia Task force hivyo kufilisi...
11 Reactions
98 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,993
Posts
49,403,330
Members
665,810
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom