Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za...
18 Reactions
103 Replies
3K Views
Samahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi? Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki...
9 Reactions
98 Replies
6K Views
Kumekuwa na makundi mengi kama Tmk wanaume, wakali kwanza, solid ground, gangwe mob, watu pori, n.k. lakini wasanii wengi waa hayo mkundi wameyumba kiuchumi hasa baada ya kuacha muziki. Hii ni...
1 Reactions
16 Replies
261 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kilichopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi na kilichopatikana kwa uchawi na makafara hulindwa kwa uchawi na makafara yakiambatana na matambiko yasiyo kwisha. Kwa...
7 Reactions
243 Replies
5K Views
Eti kawalika wasanii waje wamsadie kupokea mwenge Kina baba level , diamond nk wote wako pangani kukeshq na mwenge Wilaya nzima Ina watu elf 70 Nimeambiwa wamelipwa milioni 600 jamaa wafanye...
1 Reactions
10 Replies
82 Views
Kuna watu humu walianzisha mahusiano kwa mbwe mbwe sana, mpaka sisi ambao hatukuwa na mahusiano tukajiona labdo dunia hii sio sehemu yetu sahihi ya kuishi. Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi...
38 Reactions
721 Replies
13K Views
Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani...
2 Reactions
15 Replies
138 Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
13 Reactions
135 Replies
3K Views
Wakuu kama mlivyosikia ya kuwa confederation cup limefutwa, Je hawa ndugu zetu ubuntu botho/mikia fc/mbumbumbu fc walio nafasi ya tatu kwenye ligi je watashiriki kombe gan? Nawasikitikia sana...
2 Reactions
10 Replies
139 Views
Wasalaam wanaJF wenzangu! Wakuu naomba kufahamishwa maana ya roho, nafsi na mwili. Asante
1 Reactions
7 Replies
38 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,048
Posts
49,405,267
Members
665,830
Latest member
Ezirom
Back
Top Bottom