Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
916 Reactions
1M Replies
38M Views
Leo ni siku ya ijumaa, al hamdu liLlah nimesali pamoja na waislamu wenzangu, nasubiri muda wa iftar ufike kisha sala ya ISHAA then TARAWEEH inshaa Allah Ila nitasikitika sana sana Ndugu zangu...
4 Reactions
25 Replies
317 Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
9 Reactions
173 Replies
2K Views
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically. Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake...
14 Reactions
127 Replies
3K Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
227 Reactions
400K Replies
31M Views
Afisa Habari katika Hosptali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru SIRILA KIYANDA, Ameigomea KLABU ya KITAMBI NOMA kutokufanya matendo ya huruma kwa watoto ambao wamezaliwa kabla ya wakati ( NJITI...
1 Reactions
2 Replies
58 Views
Wazoefu,,naombeni mniambie procedure yakununua bond za BOT za miaka 25 ambazo zitauzwa wiki ijayo.Nikisoma link yao sielewi,,na bahait mbaya nakaa mikoani.Aliyewahi kununua naomba atilike...
0 Reactions
2 Replies
17 Views
Kùjifunza ni kitu kisicho na mwisho wala mipaka. Serikali yetu na watendaji wake hawajàona haja ya muda mrefu kujifunza na kuchukua tahadhari dhidi ya fainali ya Ligi Kùu ya mbio za mabasi...
7 Reactions
61 Replies
2K Views
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema, Nchi ya Tanzania kwa...
5 Reactions
43 Replies
383 Views
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa...
32 Reactions
156 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,666
Posts
49,208,722
Members
664,071
Latest member
merckme
Back
Top Bottom