Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baada Israel kuanza kutumia vikundi vya kigaidi Kishambulia Jiji la Alepo huko Syria kwa kisingizio cha kuua wanamgambo wa Hezbollah, Russia nao wameanza kuelekea Milima ya Golan pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
15 Reactions
301 Replies
4K Views
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha. Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi...
31 Reactions
228 Replies
5K Views
Nachukia ndoa na wala sipendi watu wanaofurahia ndoa zao na wala nawachukia those people who start to establish relationship na kwamba ndoa ni utapeli na kupotezeana muda tu and I hate those woman...
12 Reactions
112 Replies
1K Views
CAG Kichere amesema Hasara nyingine wanayoingia NHIF inatokana na Wastaafu na Wenza Wao kufaidika na Fedha za Mfuko huo Bila Wao kuchangia Kicheere amesema Wastaafu na Wenza Wao wanaugharimu...
5 Reactions
79 Replies
2K Views
P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase. Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia...
28 Reactions
244 Replies
12K Views
Wengi wetu tunakaribia kusherekea sikukuu za Pasaka na Eid el Fitr. Mimi binafsi nitaenda kufurahia sikuukuu yangu katika hiyo Coco Beach Je, nawe utaenda wapi?
4 Reactions
20 Replies
102 Views
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha...
9 Reactions
55 Replies
493 Views
1. Kamwe usipige naye picha . 2. Ikiwa ulimpigia simu na akakata, usimpigie tena mume wake anaweza kuwa karibu naye. 3. Usitume ujumbe wa mapenzi kwake, jitahidikupiga. 4. Usijekujaribu hata...
0 Reactions
3 Replies
24 Views
Salaam Wakuu, Watanganyika Waishio au wanaofanya kazi Zanzibar tunanyanyasika sana. Hatuna Uhuru wa kuabudu, kufanya biashara, kujumuika na Jamii. Watu tunapigwa na kudhalilishwa. Mengi...
1 Reactions
9 Replies
166 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,583
Posts
49,206,230
Members
664,062
Latest member
Proces Tech
Back
Top Bottom