Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
10 Reactions
60 Replies
494 Views
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi...
76 Reactions
280 Replies
9K Views
Zanzibar ni dola la kiislam? serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran? mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam? Kaimu Kamanda wa...
1 Reactions
23 Replies
226 Views
Mathalani, ushindani wa jadi baina ya simba na Yanga uchochee kuibua vipaji vya soka na kuinua ubora na viwango vya soka la Tanzania, kitaifa na kimataifa 🐒 viongozi wa serikali na wasio wa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi , maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua . Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi...
7 Reactions
23 Replies
260 Views
habari Wana JF, Binafsi Mimi nipo tofauti kidogo na wenzangu ...kwani sipendi hiyo siku ya mechi ifike kwani naona taifa litakuwa kwenye aibu nzito [emoji24] pale ambapo kipindi Cha kwanza ubao...
2 Reactions
57 Replies
590 Views
Mliofika Mafia. Mafia machoni pa watanzania wengi bado ni giza. Hata mtu ukimwambia ataje wilaya za Pwani angalabu sana kutaja Mafia!! Kwa hali hii imenipasa kuuliza kama hata lami ipo...
9 Reactions
199 Replies
28K Views
Salaam wakulima na wafugaji Kichwa cha uzi cha husika Karibu tutiririke [emoji846]
3 Reactions
62 Replies
487 Views
Kesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki? Msaaada naombeni
1 Reactions
59 Replies
521 Views
Daktari Magufuli aliwaachia madaktari waamue kuhusu chanjo ya Corona lakini Dr. Samia alihamasisha tena kwa kuchoma hadharani. Dr. Magufuli hakusafiri sana nje ya nchi na kuwaachia mabalozi wa...
3 Reactions
10 Replies
162 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,403
Posts
49,200,977
Members
664,016
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom