Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimekosea, Nimekosea, nimekosea mimi, nimekosea tena, nimekosea . Naomba samahani. Hayo sio maneno ya spika Mstaafu lakini maneno ya Malaria 2. Ilikuwa hivi Nimepigwa ban wiki 2 karibu sasa sipo...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Ni kama wiki hivi mtaani kwetu maji hayatoki. Si nikamuuliza msoma mita wangu, mbona maji hayatoki, umeyanywa yote? Nashangaa kanijibu hakuna shida ya maji saivi mvua zinanyesha😂😂😂😂.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Anaandika Ummy mwalimu Baada ya Report ya World Health Statistics 2023 ya WHO.. Taarifa zaidi kuhusu Kiwango cha Matumizi ya Pombe Tanzania na Magonjwa YasiyoAmbukiza. Kwa mujibu wa World Health...
5 Reactions
22 Replies
243 Views
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na...
62 Reactions
364 Replies
12K Views
Mbunge wa Geita Msukuma ameishauri serikali Kufunga mitungi ya gesi kwenye magari yote ya mawaziri ili kubana matumzi. Ameyasema hayo leo hii 26/04 Bungeni wakati akichangia Bajeti ya wizara ya...
2 Reactions
6 Replies
96 Views
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amekabidhi magari matatu mapya kwa ajili ya Wakuu wa Wilaya za Rombo, Mwanga na Same, yenye thamani ya zaidi ya Tsh. milioni 600 ili kuongeza ufanisi wa...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
382K Replies
10M Views
Hivi karibu Jeshi letu la POLISI Kitengo cha Usalama Barabarani lilikuwa na zoezi la kuziondoa NAMBA za 3D zilizofungwa kwenye Vyombo vya Usafiri. Ni ukweli usiopingika kuwa Ipo KAMPUNI...
0 Reactions
5 Replies
60 Views
Waaukumbi. American colleges and universities involved in the Palestinian protests: - Yale University University of Texas Columbia University Massachusetts Institute of Technology University...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
1 - Saa 3 usiku hakuna daladala barabarani. 2- Saa 4 usiku huoni watu nje na usiulize kwanini. Jiongeze bro! 3- Ugali wa 1500 unapata mboga 7, usisahau uono (dagaa mchele) buree. 4- Ndio jiji...
0 Reactions
6 Replies
81 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,367
Posts
49,483,908
Members
666,711
Latest member
MC-MCHOKOZI
Back
Top Bottom