Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
41 Reactions
230 Replies
4K Views
Habari wakuu. Mwezi wa kwanza mwaka huu. Baada ya mwezi wa 12 kuonekana nina wateja wengi sana kwenye biashara yangu sasa nimepata mpinzani mpuuzi sana. Kiufupi nimeumia sana kuwa na mpinzani wa...
14 Reactions
53 Replies
2K Views
Hivi huwa najiuliza mkuu wa latra huwa anapataje usingizi ikiwa kila kukicha ajali za mabasi ya abiria zinazidi kuongezeka?ameshindwa kutafuta suluhisho kweli?mabasi yote yafungwe camera ambazo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wakuu. Mwenye gari IST anaye uza tafadhari tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
kwa akili za hawa watu ni ngumu sana kuelewa hata wakieleweshwa wanatakiwa kunyooshwaa kwa vitendo aiingii akili kumdhulu mwenzio eti kwa sababu anakula huku wewe umefunga................ yaani...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka MITATU ya Urais wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema, Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita...
5 Reactions
17 Replies
142 Views
Jinai ni jinai tu, hata kama jinai hiyo inatendwa ili kumsaidia mjane wa kigogo. Kwenye clip hii (kuanzia dakika ya 1 na sekunde 3), Jerry Slaa anakiri kushirikiana na Msama kufanikisha mpango wa...
3 Reactions
7 Replies
300 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja linawashikilia watu kumi na mbili kwa tuhuma za kukutwa wakila mchana hadharani kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao wanaifanya kuwa...
14 Reactions
418 Replies
7K Views
1. Wizi wa kutumia mfumo wa Keyless. Wizi wa keyless au wizi wa relay ni wizi ambao huusisha watu wawili ambao hufanya uhalifu huu kwenye magari ambayo yameegeshwa nyumbani. Wizi huu huusisha...
3 Reactions
4 Replies
269 Views
Mama/Baba yako anakupenda tu kwa sababu wewe ni mwanae. Alikuzaa, umekuwa anakuona, mmekuwa na bond ya muda mrefu. Kaka na dada zako wanakupenda tu kwasababu wewe ni ndugu yao. Mmezaliwa pamoja...
6 Reactions
25 Replies
212 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,586
Posts
49,206,596
Members
664,059
Latest member
Proces Tech
Back
Top Bottom