Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mkuu, anaeijua kampuni inyoitwa Global Alliance anijuze, naona walinipigia simu nifike kwenye interview yao wanfanyia Kibo palace Arusha, kwa anaejua baadhi ya maswali wanoweza kutoa. Mimi nina...
4 Reactions
28 Replies
441 Views
Katibu mkuu Nchimbi,katibu mwenezi Amosi Makala,Alli Hapi wazazi,na Joketo Mwegelo vijana bado hata robo ya amshaamsha ya MAKONDA hata robo yake hamjamfikia kulikoni? Mngedoda sana, bahati yenu...
4 Reactions
21 Replies
595 Views
Magufuli aliugua kwa matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu tangu akiwa Chuo Kikuu UDSM Jenerali mstaafu Venance Mabeyo alieleza kwa uwazi mkubwa kuwa Magufuli aliugua akapelekwa...
4 Reactions
60 Replies
1K Views
  • Poll
LIPA KWA M-PESA Ni laini ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya wafanyabiashara wooote iwe online business, Sheri, Hotel,Guest House, makampuni mbali mbali n.k. Hiyo yote ni kwa ajili ya kuuzia bidhaa...
1 Reactions
1 Replies
31 Views
DISCLAIMER (KANUSHO): Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya burudani tu, Maudhui yake hayana nia ya kukashifu, kudharau au kuchukulia poa harakati/imani/mitazamo au kazi za watu.. Tufurahie na kucheka...
94 Reactions
382 Replies
12K Views
Haya mje wana Kuna dada amemwaga maji huko Alitembea na baba mkwe miaka ya nyuma kama 3 Baada ya miaka 3 akaja kupata mchumba, wakapendana sana kijana akachanganyikiwa Kijana kumpeleka nyumbani...
1 Reactions
50 Replies
316 Views
Homa ya Kariakoo Derby inazidi kupanda, siku ya kumaliza ubishi imewadia. Leo jioni kuanzia saa moja miamba hii itakutana kutafuta point tatu muhimu kuendeleza marathon za Ligi Kuu ya NBC. Yanga...
30 Reactions
1K Replies
31K Views
Penny buana me nina makasiriko Mpenzi wangu buana amenipiga laki 5 akanikimbia akaja Dar Sa namtafuta mpaka kwao.kumbe kwao ni kwa mchongo Simu hapokei Money penny: hizo hela mlipeanaje mpaka...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Nilipogundua hili nikawa sasa naangalia faida zaidi katika kuzishabikia hizi teams. Hakuna mwenye akili anashabikia hizi teams. Au mwenye uwezo mzuri kiuchumi Ukiona hawa wenyewe uwezo wapo hizi...
9 Reactions
20 Replies
510 Views
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika. Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma. Hakuna anayependa kula matapishi. Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch...
1 Reactions
16 Replies
339 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,075
Posts
49,442,083
Members
666,185
Latest member
gearbox
Back
Top Bottom