Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeitoa huko twitter, Nasikia yule mtangazaji mpiga kelele ambaye angekuwa pastor huenda angefit na kuprove well maana ile sauti ya mjuba siyo ya kusomea tu magazeti. Bila kupoteza muda ni...
0 Reactions
8 Replies
216 Views
Nilitegemea Mhe. Wangu kuwakemea wanaokula kwa urefu wa kamba zao. Nitaendelea kuamini kuwa hii ni kauli inaweza kuendelea kutumika kukosoa nia ya serikali kuunda vyombo vinavyosimamia maadili...
0 Reactions
3 Replies
94 Views
Nawasalimu wote kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Utangulizi Mimi ni raia wa Tanzania, Mkristo kwa imani. Lakini nasikitishwa na kile kinachoendelea katika huduma ya Nabii wa Uongo...
9 Reactions
66 Replies
2K Views
Ankara | 17.04.2024 🇹🇿🇹🇷 Baraza la Seneti la Chuo Kikuu cha Ankara, chuo kikuu cha pili kwa ukubwa nchini Türkiye, limeamua kwa kauli moja kumtunuku Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Shahada...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Sikujua kuwa Timu ndogo ya Azam (wakamiaji) wamecheza leo na mashujaa na kutoka nao suluhu! Kwa hesabu za haraka kama yanga atashinda mechi ijayo atakuwa bingwa rasmi
2 Reactions
7 Replies
269 Views
Je, kwa nini Netanyahu anaendelea kuwaza kuhusu kulipa kisasi kwa Iran ikiwa Israel iliua makanda wa Iran, lakini wao Israel kama ambavyo wanaripoti kuwa wameyadungua makombora ya Iran 99% na...
0 Reactions
5 Replies
182 Views
Nimegundua ni ngumu sana kuwalaani au kuwachukia Wayahudi. Hili dhehebu la Shia katika Uislamu ni zao la Myahudi ambaye alitumwa aende anzisha hili dhehebu katika uislamu. Abdullah Ibn Sabai Karne...
3 Reactions
14 Replies
320 Views
Pikipiki imenyooka kama rula, mkoa wowote ulipo inakufikia kwa kuendeshwa sio kusafirishwa. Cc 125 powerfull boxer haijawahi fanya boda boda hata siku 1, ina mwaka katika matumizi na Km 10,000...
3 Reactions
10 Replies
710 Views
Fuatilia kinachojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 8, leo Aprili 17, 2024. https://www.youtube.com/watch?v=44Vf4dT7NOw Mbunge wa Geita vijijini (CCM) Joseph Musukuma amesema...
20 Reactions
89 Replies
3K Views
Kabla ya Iran kutawaliwa katika mfumo wake wa sasa wa Ki- Ayatollah ilikuwa ikitawaliwa kwa mfumo aina fulani karibia na Ufalme hivi ambao watawala wake walikuwa wakiitwa Shah. Mashah wawili wa...
1 Reactions
2 Replies
77 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,379
Posts
49,416,421
Members
665,913
Latest member
Mohamed contao
Back
Top Bottom