Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia. Si upendo wa kiuchafuchafu...
14 Reactions
117 Replies
4K Views
Shehe mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar amesema Ijumaa itakuwa ni siku Maalumu ya kuliombea Taifa juu ya mvua zinazoendelea kunyesha Mungu wa Mbinguni mbariki Mufti Abubakar
1 Reactions
4 Replies
14 Views
Askofu wa Assyriac Church Mari Mari Emmanuel alidungwa kisu pamoja na waumini kadhaa katikati ya ibada huko Wakeley Jumatatu usiku. Shambulio hilo lilitokea katika Kanisa la Christ The Good...
1 Reactions
38 Replies
1K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa tathmini ya athari ya miundombinu ya barabara nchini imebaini hadi kufikia jana Aprili 14, 2024 kuwa Wizara ya Ujenzi inahitaji kiasi cha...
3 Reactions
18 Replies
523 Views
Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeliomba Bunge likubali kuidhinisha Sh10.1 trilioni ambazo ni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha...
3 Reactions
7 Replies
169 Views
Hawakujua utafanya mambo makubwa yote haya, Umekamilisha Miradi hata iliyoshindikana, Umetekeleza miradi kila kata ya Nchi hii, umewapa uhuru raia, vyombo vya habari na online media zote za...
0 Reactions
4 Replies
222 Views
Nilivyoolewa na mwanaume shoga. Mwandishi ni Juma hiza.
0 Reactions
19 Replies
272 Views
Ni mwaka Jana ndiyo nilifahamu kwa mara ya kwanza juu ya uwepo wa tunda liitwalo dragon. Dragon ni kama jina la "utani" Jina lake halisi, kama sikosei, ni PITAYA au MSHOKISHOKI. Uchunguzi wangu...
1 Reactions
20 Replies
336 Views
Ndugu zangu niwape pole sana kwa taarifa zilizotufikia Wakuu wangu kuna kazi ambazo mwanaume akizijua na kuzifanya kwa weledi wa hali ya juu basi kuoa ni kazi sana * Kuosha viombo vingae na...
19 Reactions
47 Replies
2K Views
Manufaa ya muungano tumeyaona, ni matamu sana kwa watanzania walio wengi. Kila kijana mzanzibar anatamani kwenda kuishi Tanzania bara, na wako watanzania bara ambao wanatamani kwenda Zanzibar...
1 Reactions
20 Replies
274 Views

FORUM STATS

Threads
1,845,957
Posts
49,401,927
Members
665,782
Latest member
lucysAloyce
Back
Top Bottom