Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Time to put things in their perspective. Ring road in Dodoma U/C https://youtu.be/rU64ZWjGhUo?si=Jpaj_cip-MYwSz_C
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wanawaza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
11 Reactions
134 Replies
2K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
6 Reactions
120 Replies
2K Views
Nimeangalia jana znz watu wanakamatwa kwa kula mchana ....sasa nikajiuliza mfano marekani ingekuwa dola ya kiislam uingerez dola ya kiislam china nayo dola ya kiislam .yaani mfano nchi...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa. Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani...
24 Reactions
130 Replies
2K Views
Hapana shaka CCM ni SSH: ACT-Wazalendo ni ZZK: CHAUMMA ni HRS: CHADEMA ni nani? Maoni yangu; -Chadema wange 'vujisha' mgombea wao ili wananchi wamzoee, wampime ....kusudi, ikifika 2025...
2 Reactions
18 Replies
296 Views
Niaje waungwana Baada ya wazungu kufanikiwa kuwaweka watu wao pale mashariki ya kati (Palestina + Israel), Plan ya pili ilikuwa ni kuwasaidia watu hao kujitanua kutoka nchi moja kwenda nchi...
29 Reactions
232 Replies
5K Views
ni miongoni mwa chaguzi rahisi mno, na ni muhimu sana kwa waTz. ni kuhusu hoja na sera za maendeleo dhidi ya malalamiko, kelele na ghadhabu za waliokosa hoja na walio poteza uelekeo. ni baina ya...
0 Reactions
3 Replies
24 Views
Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
8 Reactions
88 Replies
2K Views
Kuna biashara inayoendelea kati ya baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO TANGA MJINI na wamiliki wa Kumbi za kuonyesha mipira kwa makubaliano wanayoyajua wao. Mechi ikikaribia kuanza kuchezwa...
2 Reactions
9 Replies
51 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,515
Posts
49,204,711
Members
664,043
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom