Kuna muda inakupa wakati mgumu kujua kama wako Serious.
Yametokea Mafuriko Rufiji, wakatuma Kada wao akawadanganye Wana Rufiji kudai dida, alichokipata hawatakisahau.
Yametokea mafuriko Arusha...
Kwenye Science kila kitu kinakuwa supported na data au statistical significance, kinyume na hapo hiyo inakuwa ni IMANI au personal faith.
Maneno kama ukikojoa mkojo wa povu, wewe una FIGO, kiuno...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Alihudumu kama Waziri kwa vipindi vyote viwili vya JK kama Waziri wa Ujenzi kisha Elimu. Dkt. Shukuru Kawambwa ambaye baada ya kuwa Lecturer UDSM akagombea ubunge wa Bagamoyo.
Kwenye clip...
kwa siku, wiki, mwezi au mwaka kwa upande wako unaspend muda mrefu na bando kubwa zaidi ya data ukiwa kwenye ukarasa upi miongoni mwa kurasa nyingi tu, za mitandao ya kijamii humu duniani...
Asali Mbichi Original kutoka Tabora Haijachanganywa na Kitu.
Inauzwa kwa Bei ya Jumla
Tshs 4,500 kwa Chupa Moja ya Nusu lita.
Kwahiyo Unaweza Kuchukua na Kwenda Kuuza Rejareja kwa Bei Nzuri...
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam bado linaendelea kuwashikilia Boniface Jacob na Godlisten Malisa. Wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii.
Polisi...
Katika muendelezo wa kile waziri wa ardhi Jerry Silaa anachokiita kliniki ya ardhi na kutatatua changamoto za ardhi ameendelea kupuuza kabisa documents/nyaraka halali za serikali na mahakama za...
NEW IN TOWN [emoji91]SKY ROYAL
Commercial and residential units for sale.
Experience a luxury SEAVIEW city living in our stylish and modern project Located at MIKOCHENI,our prime location offers...
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike.
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.