Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naamka asbh namuamkia mtu ,jirani yangu alfu harudshi salama anaitikia kimkato tu na kutuliaa ,hichi kitu kina nikeraa sana naona Kam najipendekezaa mm! ,wakt jirini mwingine ananisalimia kwa...
1 Reactions
10 Replies
148 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
102 Reactions
218K Replies
16M Views
Sisi watu tuna akili ndogo. Kwa nini hawa wakoloni hawakulazimisha elimu kwa jamii yetu lakini wakalazimisha dini ? Kwa malengo gani hasa tuzidi kuwa wapumbavu ? Mwafrika mweusi mwenzangu...
5 Reactions
14 Replies
69 Views
Jana nilibahatika kushiriki Futari ya pamoja huko Rombo Nilichokiona sikuamini uislam unakua kwa kasi sana pande hizo Moshi misikiti inamea kwa kasi sana huku Rombo pakiwa ni mfano wa kuigwa...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Baada ya kumsikiliza kocha wetu, mbabaishaji Miguel gamond katika mkutano na waandishi wa habari, Nimejikuta nimekata matumaini ya timu Yangu kushinda mchezo wa kesho dhidi ya kabayelo...
2 Reactions
13 Replies
258 Views
Nimesikitishwa na hali inayoendelea Zanzibari kukamata watu wanaokula mchana nakupewa kipigo hali hii imekuwa inajitokeza kila mwaka mwezi huu wa ramadhani Kilichonisikisha mwaka huu vyombo vya...
0 Reactions
15 Replies
194 Views
Habari zenu wapendwa, Tafadhali naomba kujua kiundani kuhusiana na biashara ya chakula cha kawaida(mama LISHE/ntilie) au tuiite biashara ya chakula cha bei nafuu, kuanzia sh. 1000 - 5000. Kwa...
1 Reactions
7 Replies
140 Views
#FAHAMU: Abby na Brittany Hensel ambao ni mapacha walioungana mmoja wao ametangaza kufunga ndoa na Josh Bowling ambaye ni nesi na mwanajeshi mkongwe wa Jeshi la Marekani ndoa ambayo ilifungwa...
6 Reactions
71 Replies
660 Views
Uwezo wa kukabilianana majanga kwa wakati si jambo rahisi kwa taifa na jamii yoyote haijarishi uwezo wala maendeleo https://www.yahoo.com/news/massive-effort-clear-baltimore-bridge-052245950.html
0 Reactions
3 Replies
58 Views
Habari ndugu wanaJamiiForums, Rejea kichwa cha mada chausika. Mimi nina mgonjwa hospitali ya wilaya mkoa wa Kagera, kila dawa tunayoandikiwa na daktari, tukienda famasi hawana. Lakini wagonjwa...
10 Reactions
86 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,704
Posts
49,209,662
Members
664,076
Latest member
kingfj
Back
Top Bottom