Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Asali Mbichi Original kutoka Tabora Haijachanganywa na Kitu. Inauzwa kwa Bei ya Jumla Tshs 4,500 kwa Chupa Moja ya Nusu lita. Kwahiyo Unaweza Kuchukua na Kwenda Kuuza Rejareja kwa Bei Nzuri...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam bado linaendelea kuwashikilia Boniface Jacob na Godlisten Malisa. Wanatuhumiwa kwa makosa ya uchochezi na kuzua taharuki katika jamii. Polisi...
6 Reactions
75 Replies
2K Views
Katika muendelezo wa kile waziri wa ardhi Jerry Silaa anachokiita kliniki ya ardhi na kutatatua changamoto za ardhi ameendelea kupuuza kabisa documents/nyaraka halali za serikali na mahakama za...
3 Reactions
11 Replies
433 Views
NEW IN TOWN [emoji91]SKY ROYAL Commercial and residential units for sale. Experience a luxury SEAVIEW city living in our stylish and modern project Located at MIKOCHENI,our prime location offers...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike. Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo...
13 Reactions
228 Replies
54K Views
Kwenye Science kila kitu kinakuwa supported na data au statistical significance, kinyume na hapo hiyo inakuwa ni IMANI au personal faith. Maneno kama ukikojoa mkojo wa povu, wewe una FIGO, kiuno...
21 Reactions
63 Replies
979 Views
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka...
17 Reactions
144 Replies
3K Views
Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi. Leo marafiki zake wakaribu...
16 Reactions
122 Replies
1K Views
Nafasi ya Polisi katika nchi, tofauti na wengi wanavyoamini, ni muhimu sana kwa ustawi wa nchi. Kwa hapa kwetu nchini, kwa muda mrefu, imejengeka imani kuwa watu wenye uwezo mdogo wa kimasomo...
2 Reactions
5 Replies
73 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,591
Posts
49,489,903
Members
666,767
Latest member
JBLEMUTZ
Back
Top Bottom