Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete yupo Chuo Kikuu cha Harvard nchini Marekani kutoa darasa kwa Mawaziri wa Fedha, Uchumi na Mipango kutoka nchi mbalimbali duniani. Dkt. Kikwete ambaye ni mchumi na...
1 Reactions
1 Replies
21 Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
31 Reactions
4K Replies
2M Views
Furaha Dominic anashitakiwa kwa kosa la kurekodi video zisizo na maadili za viongozi mbalimbali kisha kuzitumia kujipatia pesa kwa kuwatisha (blackmailing). Furaha Dominic ni yule kijana ambaye...
19 Reactions
161 Replies
10K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini (GBT) amesema sekta ya michezo ya kubahatisha imekuwa chanzo cha ajira kwa wengi nchini akiwemo yeye mwenyewe ambapo mpaka sasa zaidi ya...
1 Reactions
11 Replies
345 Views
Yaani dunia ya sasa mwanaume ukijiweka kwenye angle ya kujifanya nice guy lazima ulambwe. 20% zinatosha kua humble na 80% kua katili ukiwa humble lazima lilikukute jambo baya na gumu. Yamewahi...
6 Reactions
12 Replies
107 Views
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana 1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa...
10 Reactions
143 Replies
6K Views
========================== Tangu Maharage pale TANESCO alipotoa tamko lisilo na mantiki na linalo-defy all logical reasoning, kwamba eti hata baada ya Megawatt 2100 kuanza kuzalishwa kwenye bwawa...
53 Reactions
201 Replies
11K Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
381K Replies
10M Views
Afisa Habari wa Tanesco amemweleza Waziri mkuu mh Majaliwa kwamba wamelazimika kuzima mitambo mitano kwa Sababu Umeme unaozalishwa ni mwingi MNO kuliko mahitaji Source: Ayo TV Raha ya Milele...
3 Reactions
5 Replies
98 Views
Uwanja ukowazi. Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa. Sifa zangu: Umri : 50 Elimu: shahada 1 &2 Kazi: Mfanya biashara Dini: Mkristo...
13 Reactions
205 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,147
Posts
49,476,016
Members
666,599
Latest member
abuutz42
Back
Top Bottom