Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba kuuliza juu ya Tangazo hili kama ni la kweli, maana linasambaa sana. [emoji120]
4 Reactions
27 Replies
903 Views
Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi...
16 Reactions
132 Replies
4K Views
Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani. Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa...
6 Reactions
29 Replies
245 Views
Nimekusikia ukiwa Musoma,eti kwa sasa mapato yameongezeka na hakuna anayeporwa fedha,hizi ni siasa maji taka,na kwa taarifa yako kumgusa hayati MAGUFULI ni kujidhalaurisha kwa watanzania makini...
1 Reactions
9 Replies
22 Views
Habari wakuu. Baada ya pilika za wiki nzima na sikukuu hatimae wikiend imeanza au inaendelea panapo majaaliwa mpaka J3. Nipo room hapa nikaona nisikilize muziki,nikachukua flash ya dogo ebwana...
18 Reactions
60 Replies
2K Views
Ni mambo machache ambayo ni muhimu kwa afya zetu kama maji. Kila seli, misuli, na kiungo katika miili yetu hutegemea maji kufanya kazi ipasavyo. Lakini kuna tatizo: Sio maji yote ya kunywa...
0 Reactions
9 Replies
445 Views
Marekani ilikua inatumia nguvu nyingi kuzuia operesheni ya kupiga Rafah, ila kwa sasa imelegeza kama njia ya kuzuia Israel kupiga Iran. Ikumbukwe mojawapo wa sababu kuu kwanini inabidi Iran...
5 Reactions
36 Replies
826 Views
Ndugu zangu Watanzania CHADEMA imejaa watu wabinafsi sana,watu wenye roho mbaya,watu wenye mioyo migumu kama zege lililokaukia Juani. CHADEMA siyo chama ambacho unaweza kukiweka hata kwenye...
4 Reactions
198 Replies
1K Views
Kwa baadhi ya nchi money can be power ila si TZ ukichunguza wafanyabiashara wengi upper mid levels na wakubwa unaona wengi wanaona pesa pekee za biashara hazina power, mwajiriwa hasa hawa wa...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL. Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta...
11 Reactions
67 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,587
Posts
49,422,518
Members
666,004
Latest member
Dick Osewe
Back
Top Bottom