Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao. Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia...
3 Reactions
12 Replies
403 Views
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi 1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini 2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu) #upambanaji...
4 Reactions
22 Replies
287 Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
2 Reactions
37 Replies
255 Views
Mara nyingi search engine ya JF haitoi matokea sahihi.Unaweza ukakuta kitu kipo lakini hakionekani.Hivyo nilipoukosa hapa nikaamua kutumia google search engine. Hata huko nako huo uzi sikuuona...
1 Reactions
3 Replies
42 Views
Niliwahi kusikia habari za EAZY-E kwamba yeye ndiye GodFather of Gangsta Rap. Na zaidi nikaja kusikia kuwaKwa miaka ya 1986-1992 ni EAZY-E Pekee ndiye rapper aliyekuwa na pesa nyingi zaidi kuliko...
10 Reactions
74 Replies
966 Views
Arusha,Zanzibar,Kilimanjaro,Mara na Mbeya ni moja kati ya sehemu ambazo zimekuwa ukipata sifa lukuki juu ya uzuri wa maeneo ndani ya mikoa hiyo. Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuonesha uzuri wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu habari za muda na wakati kama huu. Binafsi naamini wengi wetu tu wazima wa afya na wale wachache wenye changamoto fulani kiafya basi Mungu awatie nguvu na awape steps zingine ahead...
38 Reactions
185 Replies
5K Views
https://www.instagram.com/reel/C50XkOvoJzO/?igsh=aGJ2eHoydzdkbXRy
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo...
17 Reactions
1K Replies
49K Views
Wamerusha baruti kama 500 Israel. Jana nzima nlikuwa Al Jazeera kuangalia madhara ya hayo Makombola. Hamna. Sielewi ilikuwa Makombora au mafataki? Madhara nilitegemea yawe makubwa sana. Maana...
22 Reactions
101 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,845,926
Posts
49,400,994
Members
665,762
Latest member
ASHELYJUMELY
Back
Top Bottom