Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tumsifu Yesu Kristo. Sisi wakristo Tanzania na duniani leo ni siku kubwa sana kiimani ambayo tunakumbuka kusulubiwa na kufa Kwa Yesu Kristo. Sasa, ijumaa kuu tuna utaratibu wa kufunga na kutokula...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Ukiwa mkoani ukiona zile picha za posta unaweza sema das’ laam ni kama ulaya. Ndugu zangu jiji letu pendwa ndio hilo hapo kwenye picha. Hii picha imepigwa na club ya Al ahly ya nchini Misri na...
7 Reactions
29 Replies
327 Views
Katika maandalizi yanayoendelea kwa Simba na Yanga kuelekea mechi zao dhidi ya Al Ahly na Mamelod inaonyesha Simba wana nafasi kubwa sana ya kushinda mechi yao tena kwa idadi kubwa ya magoli hapa...
0 Reactions
8 Replies
149 Views
Kuna taarifa kuwa mashabiki wa Simba kutoka Mbeya wamepata ajali maeneo ya Vigwaza Pwani, wakiwa njiani kuelekea Dar, kushuhudia mechi ya Simba na Ahly. Ajali hii imetokea baada ya gari lao...
8 Reactions
90 Replies
2K Views
Kuna biashara inayoendelea kati ya baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO TANGA MJINI na wamiliki wa Kumbi za kuonyesha mipira kwa makubaliano wanayoyajua wao. Mechi ikikaribia kuanza kuchezwa...
2 Reactions
11 Replies
51 Views
Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k...
17 Reactions
250 Replies
3K Views
Habari wana theolojia. Mathayo, Marko, Luka na Yohana hawa walikuwa ni mashahidi wa macho waliopata kumuona na kumsikia Yesu Kristo, hata baadaye wakapata msukumo kupitia roho mtakatifu...
4 Reactions
70 Replies
994 Views
Siku za karibuni Al Ahly wamekuwa na ujasiri mkubwa wakikutana na simba. Sababu kuu ni kwamba wanajua lazima wafanikishe malengo yao mbele ya simba kwakua simba imekosa kabisa mbinu ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele. Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
7 Reactions
124 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,515
Posts
49,204,711
Members
664,043
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom