Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za...
17 Reactions
99 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Israel Katz kupitia Mtandao wa X amesema "Asubuhi hii nilituma barua kwa nchi 32 na kuzungumza na Mawaziri wengi wa Mambo ya Nje na Viongozi Waandamizi Duniani...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Wasalaam wanaJF wenzangu! Wakuu naomba kufahamishwa maana ya roho, nafsi na mwili. Asante
0 Reactions
4 Replies
38 Views
Ni jambo la busara sana. Kuinua uchumi wa nchi. Mama abarikiwe sana. Ametuona kwa kweli. Magari mengi yalikuwa ni model iliyopita kwa kutununulia haya na hizi mvua kwa kweli ametutia moyo sana...
2 Reactions
24 Replies
338 Views
Afisa Habari wa Yanga SC Ali Kamwe amesema mashabiki wa Simba SC wakijichanganya waisusie Kariakoo Derby Jumamosi hii na kuamua wasije uwanjani, basi wataigeuza siku hiyo kuwa kilele cha wiki ya...
2 Reactions
11 Replies
348 Views
Huu ndio Ukweli mchungu ambao wana Yanga hawaujui au wameupuuza. Wale wanaokumbuka Simba iliyotaka kushuka daraja, ile ya akina John Makelele Zigzaga, Simba iliyokuwa Mbovu kuliko zote...
4 Reactions
28 Replies
709 Views
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Kennedy Mwamlima aliyekuwa akikosoa utendaji wa Rais Samia katika mtandao wa TikTok amepatikana Igogo Igunga Tabora. Kwa sasa anapelekwa hospital kwa sababu...
6 Reactions
26 Replies
733 Views
Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani...
2 Reactions
11 Replies
138 Views
Kuna watu humu walianzisha mahusiano kwa mbwe mbwe sana, mpaka sisi ambao hatukuwa na mahusiano tukajiona labdo dunia hii sio sehemu yetu sahihi ya kuishi. Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi...
38 Reactions
719 Replies
13K Views
Hii mambo ya kuteuana ndio inaleta watu kama kina Try Again , Mangungu, imani Kajula watu ambao uwezo wao kwenye football management ni mdogo sana. Hii itasababisha kila kocha ataonekana hafai...
1 Reactions
8 Replies
256 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,046
Posts
49,405,114
Members
665,829
Latest member
Ezirom
Back
Top Bottom