Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huyu ni BobRisky wa Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.
1 Reactions
50 Replies
633 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika...
0 Reactions
6 Replies
268 Views
Kwenye taasisi zingine zilizo chini ya serkali kuna madudu mengi sana! Inakuwaje kwenye halmashauri kuwe safi kwa 99% huku kwenye taasisi za serkali kuwe kumeoza! Au minong'ono ya bahasha kwa...
1 Reactions
7 Replies
8 Views
Bandari imeshindikana Hadi mmewapa DP world! Sasa na mabasi Tena jamani!!?haya mabasi ya mwendokasi TU haya yamewashinda serikali!!?yaani nchi imeshindwa kusimamia mabasi TU yaani imeshindwa...
5 Reactions
49 Replies
243 Views
Saizi huyu ni Senegal president na yeye ni first Lady....😊
19 Reactions
40 Replies
748 Views
Zanzibar ni dola la kiislam? serikali ya Zanzibar inaongozwa na katiba ya kiraia au Quran? mahakama zinashtaki waliokamatwa wanakula wakiwemo wakristo kwa sheria za kiislam? Kaimu Kamanda wa...
0 Reactions
14 Replies
194 Views
Tajiri mmoja wa Gaza ya kaskazini amesema wameishiwa na chakula na maji kiasi kwamba kuna baadhi ya familia zimelazimika kuchinja punda na kula nyama yake ili wabaki hai. Mbali na ushahidi huo...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wana waza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
6 Reactions
75 Replies
1K Views
Wote, hadi sasa, wana kadi tatu za njano. Ni hawa: RISK OF SUSPENSION This table lists all players who are injured, sick and suspended, and those, who are at risk of facing suspension. Compact...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Facial expression na kauli za Mama leo baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG na TAKUKURU ni kama vile Mama hakuwa na raha na GAG zaidi mzani ulielemea kwa TAKUKURU
3 Reactions
14 Replies
292 Views

FORUM STATS

Threads
1,840,400
Posts
49,200,837
Members
664,016
Latest member
urioamu
Back
Top Bottom