Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tangu nilivyoanza kumpenda huyu mlimbwende wangu, ndani ya siku saba amenawili, anatabasamu zuri, ananukia vizuri, muda wote amekuwa na furaha anionapo mimi. Leo marafiki zake wakaribu...
8 Reactions
24 Replies
105 Views
Habari zenu! Bila kupoteza muda naiomba serikali itoe tamko kupitia wizara ya afya juu ya mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu (cholera). Baadhi ya vituo vya afya vimeshaanza kuzidiwa na wagonjwa...
1 Reactions
13 Replies
189 Views
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura...
37 Reactions
198 Replies
4K Views
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo. Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika...
0 Reactions
14 Replies
473 Views
Taarifa za karibuni kabisa kutoka Gaza zinasema kiongozi mkuu wa Hamas,Yahya Sinwar hivi karibuni ameweza kukagua vikosi vya wapiganaji wake maeneo tofauti ya Gaza. Alifanya hivyo kwa kujitokeza...
2 Reactions
25 Replies
814 Views
Moja kwa moja. Ikiwa kwa mfano umefiwa na mtoto wako ama mtu mwingine yeyote wa karibu sana unaweza kuvaa sare Msibani? Muda wa kuwazua nivae au tuvae Sare gani hivi huwa unatokea wapi ikiwa...
6 Reactions
26 Replies
386 Views
Hongera Tanzania's sweetheart! Hakika unastahili pongezi Kwa kazi nzuri.
20 Reactions
82 Replies
6K Views
Miujiza FOR SALE. + Itikadi FOR HIRE ☆ Hatufundishwi tena kuboresha mahusiano yetu na Mungu. Hatufundishwi tena kujisamamia kimaombi/dua ili kuomba msaada kutoka kwa Mungu. Kwa maana wanajua kwa...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
ITV wameripoti Sehemu ya barabara Darajani Salender imeanza kumomonyoka kufuatia mvua zinazoendelea kuonyesha Nawasihi Sana Tanroads wafanye haraka kurekebisha pale darajani Mlale Unono 😃
7 Reactions
9 Replies
275 Views
Rais Samia Suluhu ameongelea hali ya mafuriko nchini. Ametoa pole waliokumbwa na mafuriko ikiwemo Rufiji, Morogoro na Arusha. Pia ametoa pole kwa ajali ya wanafunzi iliyotokea leo jijini Arusha...
0 Reactions
8 Replies
396 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,514
Posts
49,488,013
Members
666,767
Latest member
JBLEMUTZ
Back
Top Bottom