Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu binafsi nimeskia sana swala la mashabiki kudai wachezaji wetu baadhi waachwe na wengine wabaki . Ni sawa .. Lakini shida tunasahau sana na kukurupuka sana bila kukumbuka na kufuatilia kwa...
3 Reactions
25 Replies
154 Views
Hii misamiati yenu huwa mnaibuni kutoka wapi aisee 1. Charger – kimemeshi 2. Appetizers –vihamuzi 3. Simcard – kadiwia/mkamimo 4. Memory card –kadi sakima 5. Business card – kadikazi 6. Microwave...
15 Reactions
80 Replies
687 Views
Habari za muda huu wapendwa. Maisha ni safari ndefu sana yenye milima na mabonde. Kuna nyakati unapitia Raha mpaka unajiona hapa duniani upo peke yako. Kuna nyakati unapitia msoto mkali mpaka...
6 Reactions
27 Replies
271 Views
Africa watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio nilikua dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wanasukari . Nikazama gugo kudadis...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Naomba ladies mfunguke kuhusiana na hilo swali langu hapo juu.. Asante
0 Reactions
37 Replies
128 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
510K Replies
29M Views
Mbunge wa Konde-ACT Wazalendo ambae anatokea Zanzibar ameitaka Serikali kurejesha utaratibu wa kuwa na Passport Kwa watu wa Bara wanapenda Zanzibar. Bwana Mbunge amesema Zanzibar ni ndogo hivyo...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
UCHAMBUZI WA BAJETI YA OFISI YA RAIS- MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025. Utangulizi. Ijumaa tarehe 19 April 2024, Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais...
0 Reactions
1 Replies
9 Views
Bila kupoteza muda ladies leo zamu yenu, hebu mtaje member wa kiume unayevutiwa naye… unaona kabisa huyu yupo kumtima. Na liwalo na liwe namtaja. Wanaume tulieni muone mnavyopendwa na ukitajwa...
19 Reactions
1K Replies
10K Views
Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini? Umeaccomplish mikakati yako? Mimi nilisema nitafanya savings, ila...
1 Reactions
34 Replies
141 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,856
Posts
49,467,783
Members
666,455
Latest member
Dr Sifael Mk
Back
Top Bottom