Sehemu mojawapo ambayo vyama vya upinzani huwa vinakuwa na malalamiko makubwa wakati wa uchaguzi ni figusu katika uapishwaji wa mawakala wa kusimamia kura za wagombea katika uchaguzi.
Nilitegemea...
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu.
Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema...
Wakuu natumai mu wazima!
Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja.
Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
Hivi ndivyo BBC wametoka mrejesho wa miaka 3 ya Rais Samia Madarakani wakielezea jinsi ameshindwa viunzi na kupata Matarajio kinyume Cha Wakosoaji ambao walitarajia atashindwa.
BBC wanasema Kwa...
Ndani ya miaka 3 ya Rais Samia,Mamlaka ya Anga imeanza Kuzalisha ndege zake za abiria yaani chartere plane Kwa kushirikiana na kampuni ya Schech ya Airplane Africa Limited ambapo Hadi Sasa...
Natumai mko poa pamoja na hizi tozo[emoji1].
Mind-body dualism hii ni dhana kwamba akili(mind) na mwili(body) wa binadamu ni vitu viwili tofauti kila kimoja kinajitegemea kivyake.Dhana hii ilikua...
High school graduate, 17, climbing without ropes falls to his death in Colorado after posting a FINAL Instagram selfie
A 17-year-old high school graduate died while out rock climbing in Colorado...
Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, naomba ushauri wenu. Mimi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu hapa Duce na chukua bachelor of science with education biology na geography. (Umri wangu ni miaka 23)...
Hivi karibuni kutafanyika uchaguzi mdogo katika Kata kadhaa Tanzania Bara. Tume ya Taifa inatoa taarifa Leo eti Vyama 18 vimesimamisha wagombea. Are you serious you guys. Kweli? Vyama 17 kupambana...
African presidents in a bus as they headed to Birmingham Palace in United Kingdom for the funeral service of the late Queen Elizabeth II on September 19, 2022.
Your thoughts
African hub
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.