Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna watu humu walianzisha mahusiano kwa mbwe mbwe sana, mpaka sisi ambao hatukuwa na mahusiano tukajiona labdo dunia hii sio sehemu yetu sahihi ya kuishi. Ilikuwa kila sehemu wakipitia nyuzi...
38 Reactions
718 Replies
13K Views
Jamaa yangu alibeti mkeka wake fresh... Ikabaki team moja inaongoza 2 bila dakika ya 78 na cashout nzuri tu inapatikana.. Akaamua asubirie game iishe apate milioni zake... Zikaongezwa dakika...
0 Reactions
13 Replies
130 Views
Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2 nimejiajiri mwenyewe nina duka la nguo sinza
0 Reactions
36 Replies
264 Views
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league. African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za...
17 Reactions
94 Replies
3K Views
Suala la kikokotoo limekuwa ni mwiba mkali kwa wastaafu katika nchi hii huku kundi dogo la wanaofaidi keki ya taifa wakitaka kikokotoo kiwepo kwa wastaafu wakati wao hakiwagusi wanachumua...
2 Reactions
11 Replies
291 Views
Ni jambo la busara sana. Kuinua uchumi wa nchi. Mama abarikiwe sana. Ametuona kwa kweli. Magari mengi yalikuwa ni model iliyopita kwa kutununulia haya na hizi mvua kwa kweli ametutia moyo sana...
2 Reactions
19 Replies
190 Views
Mwaka jana mwishoni niliexperience hio kitu, asikwambie mtu. Acheni mapenzi yawe kitu chenye nguvu kubwa duniani. Mimi nimekua nikiona watu wanalizwa na mapenzi, ila niliwachukulia wanyonge wa...
9 Reactions
320 Replies
8K Views
Habarini wakuu Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo...
2 Reactions
15 Replies
142 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake Kwamba wahusika hawatokwenda...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kiukweli kila nikiwaangalia viongozi wa Simba nyuso zao hazina Nuru tena, imebaki Bora liende tu na kwasasa mzigo mzito upo kwa kocha wao benchika, Siku ya mechi na singida black star ilibidi...
3 Reactions
4 Replies
74 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,043
Posts
49,404,999
Members
665,811
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom