Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya...
2 Reactions
13 Replies
141 Views
Yaani tusijidanganye hata siku moja. Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc.. Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila...
14 Reactions
60 Replies
1K Views
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema katika mwaka 2024/25, TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 190.57 kwa ajili ya ununuzi wa magari ya Viongozi wa Mikoa na Wilaya, kuendelea na...
2 Reactions
33 Replies
933 Views
Kama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali...
13 Reactions
129 Replies
3K Views
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani. Yawezekana yule binti...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Mzuka wanajamvi! Mji wa kisasa wa kitajiri unasifiwa kwa miundombinu bora duniani sasa hivi iko underwater mafuriko ya hatarii hadi shughuli zote kusimamia. Hii no baada ya mvua kubwa na dhoruba...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amemtahadharisha Mkuu wa KKKT askofu Dr Alex Malasusa kwamba Waumini wa KKKT - DMZV wamepanga kufanya Maandamano ya amani wakati wa kikao...
0 Reactions
3 Replies
84 Views
Hakika ya dunia ina vitu vizuri na vyenye kupendeza ambapo pengine watu kwenye malengo watatamani kuvipata ama kuvifikia. Miongoni mwa hvyo vitu vizuri ni majiji makubwa hapa duniani yenye...
1 Reactions
5 Replies
54 Views
Sikujua kama kulikuwa kuna vikao vya bunge vikiendelea.. Nimeshangaa sana kumbe kuna bunge, tena kubwa kabisa kuelekea bajeti. Inashangaza sana. Hata zile clips kutoka bungeni siku hizi hazipo...
17 Reactions
105 Replies
2K Views
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile. Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa...
0 Reactions
5 Replies
40 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,009
Posts
49,403,814
Members
665,807
Latest member
Edga wakota
Back
Top Bottom