Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani...
17 Reactions
116 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
509K Replies
29M Views
Kwa wale ambao Huwa mnauliza wapi mnaweza kuwekeza na kufungua biashara basi sogezi siti. Tanzania Ina Jumla ya Halmashauri za Majiji,Miji na Wilaya 184,kati ya hizo ni Wilaya 60 ndio Zina...
10 Reactions
290 Replies
7K Views
Habari za muda huu....... Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq.......... ==== Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan Israeli...
11 Reactions
489 Replies
14K Views
Habarini wana JF, Leo nimekaa nimewaza sana na kujiuliza maswali mengi ambayo nimependa kushare nanyi. Je, roho itakapotoka tutakua na hisia kua tumeshafariki? Tutaweza kuona matukio...
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Serikali ya Iran imesema haijaona mashambulizi yoyote badala yake imezima majaribio ya drone za Israel tatu kwa kuzidungua kabla hajazijaleta madhara nchini mwake
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Habari.. Ninaomba msaada wa kupata Baruapepe (E-mail) binafsi ya Katibu Mkuu Utumishi, Bwana Juma Mkomi.. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wana JF, Nimekua nikiishi Kwa muda mrefu nikiwaza nifanye jambo gani Ili angalau nipige hatua mbele? Lakini nmekuja kugundua jambo Moja ambalo ni ukweli mchungu, Ukiwa na Hela ni rahisi...
2 Reactions
12 Replies
109 Views
Ndiyo maana GENTAMYCINE nikaamua tu kubakia na hii hii Degree yangu Moja tu kutoka Chuo Kikuu cha Werevu tupu Tanzania cha Mtakatifu Augustino Mwanza ( SAUT Mwanza ) na wala sikutaka tena sijui...
4 Reactions
15 Replies
192 Views
Habari wakuu, najua wengine humu tayari mmesha oa au ni wazazi tayari. Ningependa mtupe uzoefu wenu, kuwa uli jisikia vipi kwa Mara ya kwanza baada ya kugundua wewe ni mzazi mtarajiwa. Kuna kipi...
21 Reactions
236 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,846,761
Posts
49,428,822
Members
666,048
Latest member
Simon silumbe
Back
Top Bottom