Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida. Kwanza kabisa naomba kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kuruhusu uhuru wa...
1 Reactions
38 Replies
598 Views
Ukiwa mkoani ukiona zile picha za posta unaweza sema das’ laam ni kama ulaya. Ndugu zangu jiji letu pendwa ndio hilo hapo kwenye picha. Hii picha imepigwa na club ya Al ahly ya nchini Misri na...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Mabinti wengi wanadanga ili kupata mitaji ya biashara lakini mwisho wa siku wakipata mitaji wanashindwa kuendesha biashara na wanajikuta wakifirisika na kurudia tena kudanga/Kuuza Mbususu.
23 Reactions
142 Replies
2K Views
Nimefuatilia kwa umakini hafla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa jengo la abiria Mwanza linalokusudia kuifanya Mwanza Airport kuwa International ifikapo desemba 2024 by ICAO standards.Kwenye maelezo...
2 Reactions
15 Replies
233 Views
Kanisa Katoliki laanzisha bima yake ya afya nafuu kwa ajili ya waumini wao baada ya kuona wanahangaika Safi sana..Mambo ya bima ya afya serikali iachane nayo iachie sekta binafsi kama mambo...
2 Reactions
6 Replies
89 Views
Sorry naomba kujua matoleo ya Toyota Alphard na changamoto zake....na je kati ya Toyota ALPHARD na Toyota crown ipi gari nzuri sana kwa mtu wa kipato cha kati. Sent from my SM-A145F using...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Video hii inaonesha mtu akichapwa fimbo huku akiambiwa "Hapa si bara" sababu za kuchapwa eti ni kwa kuwa amekula mchana chakula wakati wa Ramadhani. Hivi Zanzibar, mnawachukuliaje watu wa bara...
6 Reactions
99 Replies
1K Views
Kwema Wakuu! Funga ni yako na dini yako. Na Mungu ni wako. Funga yako sio funga ya taifa au ya dunia. Ni yako wewe binafsi na Watu wanaoamini katika kile unachokiamini. Huyo mungu unayemuamini...
0 Reactions
14 Replies
15 Views
Mimi ni mkristo, mpenda haki. Nimekuwa nikiwatetea sana wapalestina katika platforms za social media kote nilipo. Hakika kitendo kinachoonekana katika video niliyoambatanisha kimeniumiza...
0 Reactions
39 Replies
428 Views
Mazingira ya maisha hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan kwa Wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida...
208 Reactions
999 Replies
71K Views

FORUM STATS

Threads
1,840,502
Posts
49,204,140
Members
664,042
Latest member
Batchelor Mpole
Back
Top Bottom