Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli viwanja vinne vya Beatrice Mshumbuzi, vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya...
14 Reactions
56 Replies
2K Views
Inashangaza na kusikitika kuona waliopitisha KIKOKOTOO Ambao ni WABUNGE wa CCM leo Wanajifanya kukishangaa na kupaza sauti za MSHANGAO. BUNGE chini ya SPIKA NDUGAI akisaidiwa na TULIA ndio...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Salam humu. Hizi noti zinasumbua Sana mtaani kwenye mzunguko wa pesa hasa kwenye biashara.Nahisi zimekuwa nyingi idadi tofauti na noti nyingine. Sasa hivi ukienda kwenye ATM hawatoi kabisa noti...
2 Reactions
5 Replies
50 Views
Mamdogo Penny Money Penny enhe! Mwana: niko na sugar daddy ila kama kijana daddy money penny: kwanini? mwana: penzi lake lanitesa sana, mwanaume anaenda kwa siku mara 3 money penny: ana umri gan...
2 Reactions
20 Replies
600 Views
Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid...
7 Reactions
87 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linamchunguza aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia (DED), Mkoa wa Pwani, Kassim Ndumbo kwa tuhuma za kufanya ngono na mfanyakazi...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Nimekusikia ukiwa Musoma,eti kwa sasa mapato yameongezeka na hakuna anayeporwa fedha, hizi ni siasa maji taka, na kwa taarifa yako kumgusa hayati MAGUFULI ni kujidhalaurisha kwa watanzania makini...
31 Reactions
145 Replies
3K Views
Inaonekana wametumia vidrone vya kawaida sana, picha zinazoonyeshwa ni kama zile drone za kwenye maharusi au wanazotumia kurekodia kwaya. Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya...
9 Reactions
35 Replies
1K Views
Leo nimekaa na mke wangu tunakula ghafla maziwa yakamuuma akaniambia mtoto anakojoa ndani ndo Mana yananiuma ,Mana mtot ana miezi miwil alikuwa amelala . Nikamwambia acha Imani zako za kiswahili...
1 Reactions
7 Replies
79 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,869
Posts
49,432,656
Members
666,104
Latest member
cosmas maxmilian Alex
Back
Top Bottom