Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu endapo Nitakuwa na app na kifaa nilicho ainisha hapo chini je endapo nitainunua app nitafanikiwa kuscan code za gari yoyote Ile ambayo niyakuanzia 2000. Note nataka iwe kama huduma ya kibiashara
0 Reactions
8 Replies
101 Views
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
1 Reactions
2 Replies
42 Views
Sisi sote tu mashahidi jinsi katibu Mkuu CCM anavyoonesha dhahiri kupingana na Rc Arusha. Ni katika sakata la kuwataja wanaomuhujumu Rais. Katibu amekuwa na mafumbo na kejeli kwa mwenzie. Je...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa utafiti wangu mdogo hakujawahi kutokea matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili kama muda huu tulionao. Kibaya zaidi hata baadhi ya vyombo vya habari vikubwa vinashiriki dhambi hii. Maneno...
7 Reactions
61 Replies
586 Views
Balozi kazi yake ni kutetea raia zake lakni ubalozi wetu wa Tanzania uliopo Uturuki haufanyi kazi hii badala yake umekuwa ukishirikiana na jeshi la polisi la Uturuki kuwaondosha watanzania nchini...
6 Reactions
74 Replies
2K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
121 Reactions
509K Replies
29M Views
Wakuu, hapa sizungumzii mambo ya mapenzi. Wanaume tumeumbwa tofauti na wanawake na kiasili kwa mtu aliyekamilika inapaswa upate hisia 'feelings' za asili za uwepo wa jinsia kinzani pindi...
2 Reactions
5 Replies
138 Views
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa...
14 Reactions
144 Replies
4K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba yale Maandamano yatakayofanyika Dunia nzima, ya kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na ambayo pia yanapinga Sheria mbovu za Uchaguzi nchini humo, Ratiba...
5 Reactions
28 Replies
419 Views
Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi 1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake 2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na...
7 Reactions
18 Replies
569 Views

FORUM STATS

Threads
1,846,554
Posts
49,421,525
Members
665,990
Latest member
255655181865
Back
Top Bottom