Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mbunge wa Konde-ACT Wazalendo ambae anatokea Zanzibar ameitaka Serikali kurejesha utaratibu wa kuwa na Passport Kwa watu wa Bara wanapenda Zanzibar. Bwana Mbunge amesema Zanzibar ni ndogo hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Viongozi wetu tuambieni na tufafanulieni vizuri tuwaelewe! Huu Muungano una dhima Gani Kwa wenzetu visiwani? Zanzibar Wana sheria zao tofauti kabisa na Tanzania! Rais wa Jamhuri akisema Watanzania...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini? Umeaccomplish mikakati yako? Mimi nilisema nitafanya savings, ila...
1 Reactions
32 Replies
141 Views
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe. DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na...
5 Reactions
157 Replies
2K Views
Kwenye makuzi yetu mpaka kufikia hapa tulipofikia kuna mtu amehusika kwa asilimia kubwa mpaka kufika tulipofika. Yawezekana ni baba,mama, rafiki, bibi, babu, mjomba, mwalimu wa shule ama yeyote...
2 Reactions
10 Replies
132 Views
Natumaini wazima Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi MAHITAJI Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu...
8 Reactions
21 Replies
149 Views
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana. Sema biashara...
2 Reactions
47 Replies
587 Views
Wakuu binafsi nimeskia sana swala la mashabiki kudai wachezaji wetu baadhi waachwe na wengine wabaki . Ni sawa .. Lakini shida tunasahau sana na kukurupuka sana bila kukumbuka na kufuatilia kwa...
3 Reactions
20 Replies
154 Views
Wengi wa vijana wa kijana wa kileo tumekuwa tukifuata mkumbo tena na kushawishiana eti Kataa ndoa bila ya kujua umuhimu wa jambo tunalolipinga. Miongozi mwa faida za ndoa ni pamoja kukupa...
2 Reactions
8 Replies
147 Views
Africa watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio nilikua dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wanasukari . Nikazama gugo kudadis...
0 Reactions
1 Replies
2 Views

FORUM STATS

Threads
1,847,856
Posts
49,467,783
Members
666,455
Latest member
Dr Sifael Mk
Back
Top Bottom