Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wadau? Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika...
3 Reactions
38 Replies
527 Views
Vijana ambao mko kwenye michakato ya kutafuta Ajira Ogopeni Sana hizi namba za simu ambazo naziweka hapa Hao jamaa sio watu wazuri, sijui wanatumia njia gani kujua kama umeomba kazi sehemu flan...
3 Reactions
13 Replies
335 Views
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ JKT Tanzania🆚Young Africans SC 📆 24.04.2024 🏟 Isamuhyo 🕖 10:00 Jioni KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA. Kikosi cha JKT Kinachoanza. Updates... Dk 25' 0-0 Game...
5 Reactions
305 Replies
5K Views
Kuna video ya mahojiano na aliyekuwa waziri na pia Mwakilishi wa Tanzania UN Mheshimiwa Amina Salim Ali inayotembea kwenye mitandao ya kijamii akielezea kuwa Zanzibar ndiyo iliyotoa mtaji wa...
9 Reactions
95 Replies
2K Views
In 16 years of power, Angela Merkel did not appoint any of her relatives to a state position. Germany said goodbye to its leader, physicist and quantum chemist, who was not tempted by fashion or...
8 Reactions
19 Replies
493 Views
Kifo ni moja kati ya fumbo kubwa sana kiumbe hai (binadamu) tumeumbiwa kutokujua hatma yetu. Lakini, lait kungekuwa na jinsi fulani mtu anaweza kuchagua ni vipi roho yake iachane na mwili huu wa...
1 Reactions
17 Replies
48 Views
Yaani dunia ya sasa mwanaume ukijiweka kwenye angle ya kujifanya nice guy lazima ulambwe. 20% zinatosha kua humble na 80% kua katili ukiwa humble lazima lilikukute jambo baya na gumu. Yamewahi...
28 Reactions
47 Replies
794 Views
Habari za uzima ndugu zangu, Niende moja kwa moja kwenye mada husika kiukweli (cryptocurrency) pesa za mitandaoni kama sijakosea ndio suala linalokuja juu sana japo katika nchi yetu hawajaweka...
1 Reactions
4 Replies
51 Views
Mzuka Wanajamvi! Mwamba bilionea mstaarabu mtangazaji na mwandishi wa habari maarufu nchini Millard Ayo ameniacha hoi na mdomo wazi alivyovaa kwenye msiba wa aliyekuwa mtangazaji wa clouds...
10 Reactions
82 Replies
3K Views
"Sisi hatushiriki Muungano Cup kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu,lakini tutakwenda Zanzibar kufatilia hali ya my wetu" - Alikamwe. Ambapo tutajua amekula nini, amefikia wapi, ameimprove vipi...
4 Reactions
31 Replies
666 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,195
Posts
49,477,942
Members
666,642
Latest member
Aliy seif
Back
Top Bottom